Dr Slaa kutikisa Singida

kumbe slaa ni mwanga, anaenda kupuliza uchawi singida...hatudanganyiki

Hudanganyiki nini wewe Yahaya usiyejua hata unaishi wapi!? Umegeuza makorido ya lumumba kuwa makazi yako! Uzuri kadri siku zinavyozidi kwenda wapuuzi mnazidi kubaki wachache,Watz wanazidi kujitambua
 
Babu yako kakuzalia nani kati ya baba na mamako?? Au unakopi akili za nepi na gaidi mwigulu??
Dogo tuheshimiane, kumuita babu sio tusi umri unaruhusu.... Sawa?
 
Kila la kheri Elimu kwa umma kwanza
 
Mnachachawa na kuweweseka km Banda wa malawi mkisikiabDr anaelekea singida....big Dr na kundi zima la ukawa.
 
Dk.slaa ndiye raisi wa mioyo ya watanzania,nenda singida ukafute dili za ujangili alizoziacha kinana na chama chake cha kifisadi c.c.m.
 
C.c. Msalani,lizaboni,mandla jr. T2010ccm,mwanadiwani.
Karibuni muone ukombozi wa kweli.
 
Naona BABU anavizia nyayo za Mh.Kinana.

Wakati Chama makini kikiendelea na ziara zake kupitia Katibu mkuu wake na Mwenezi, Wapinzani wanatembea nchi nzima. si lipumba, Mbowe wala Slaa. Namuonea huruma Kinana kwani anakula vumbi jingi huku chama akiachiwa pekee yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…