Dr. Slaa kesho atasema nini?


Atakuwa ni yule jamaa aliyekuwa waziri mkuu kipindi hicho. jina lake nimelisahau, unaweza kunikumbusha mkuu?
 

Wewe hujaelewa. Sio Kwamba Dr Slaa anaipenda ccm no Ila yeye tatizo lake ni Lowasa kama ingewezekana mngemtoa Lowasa alafu mngempa Tundu lisu mngeona Dr Slaa akiwaunga mkono. Huwezi kufanya mabadiliko kwa kumtumia fisadi alafu ubaki na amani..... Kumbuka mafisadi wote waliobaki ccm wanasubiri mzee mnvi aapishwe waanze kugawana vya kugawana.
 
Kutoka kuitwa RAIS WA MIOYO YA WATANZANIA Mpaka kuitwa DR MIHOGO.Amma kweli ubinadamu kazi.
 

Tatizo hukumwelewa.
 
Kwa hoja zako, ni wazi kwamba hukumuelewa mwalimu wako Dr Slaa tangu awali. Pili, hata sasa humuelewi kabisa. Dr hata siku moja haamini katika kumpa fisadi ikulu

CCM ilikua mbovu kwa sababu ya Lowassa na mtandao wake. Chama kikajisafisha, kikamnyima fursa. Wasaliti wachache wachumia tumbo wakamuingiza cdm kwa mabavu na kumsaidia aende Ikulu. Ulitaka Dr Slaa akuambie na akutendee lipi zaidi ya kukataa hilo kwa vitendo?

Nafkiri umeelewa japo kidogo ewe mwanafunzi kichwa ngumu!
 

Mbaya zaidi aliowasema wamehamia upande wa pili yaani ukawa anahaki ya kuwasema na kwendda kuliko kutakatifu...cchama kimezika demokrasia jumlaaaa
 
Dr Slàa ameamua kulamba matapishi yake mwenyewe. Siku zote ameikandia Ccm kama ndio chanzo cha ufukara na umaskini wa watanzania. Lakini sasa anataka watanzania wairudishe ccm madarakani tena!!!

Ccm inarudi kwa nguvu, kwa kuwa ukawa ni walafi hawana misingi , wanahongeka sasa kama slaa wanasema kahongwa kutetea ccm, mbowe kahongwa kampokea lowasa. Hii ndio ukawa ya salum mwalim.
 
Watz sisi sijui tuna nini,ndugu mtoa mada unapomlaumu Dr kwa maneno yake umeegemea mahali ambapo hata wewe hujiulizi,we unadhani kwa upande wa pili inakuingiaje kilahisi lahisi mtu aliesemwa fisadi,jambazi,hafai,ashitakiwe na hawa hawa waliomkalibisha wakaenda mbali kuuaminisha uma kua hata ushahidi wa EL wanao.leo huo ushahidi wameupotezea na kauli za fisadi hawazisemi,badala yake wamekuja na neno jingine la MFUMO m'bovu wa ccm.jamani hata kama mtu hakwenda shule vzr hapa hadanganyiki,Dr Slaa yuko sawa wala hajatetea upande wowote,amepaponda chama tawala na ameponda alikotoka kumkalibisha mtu waliemhubili kwa ubaya!
 
Mie nina mtazamo tofauti kidogo kwani,kwani ameweza kusimamia maneno yake dhidi ya lowassa na kwamba tena waje wakae meza moja ni suala ambalo hakulitaka,kwa hilo nampongeza lakini kumhusisha yeye na ccm ni historia ya mbali sana,heko dr slaa
 
unaakili lkn hazikusaidii kufikiri unawezaje kumtenganisha liwasa na ccm au kwa vile saiv ni lowasa ni mgombea binafsi wa chadema. Slaa akimtuhumu lowasa ni sawa na kuituhumu ccm LOWASA NI FISADI KAMA MAFISAD WENGINE WALIOKO CCM

Sasa wewe unataka kusema ni nani anafa kwa mtazamo wako ni heri kumchagua fisadi mmoja aliyezungukwa na mfumo wa haki kuliko kumchagua msafi mmoja aliyezungukwa na mfumo wa kifisadi na mafisadi lukuki japo hata yeye akichunguzwa vizuri ni fisadi mwenzao
 

wewe ndo ambaye haoni vizuri na kama unaona unamuunga mkono wewee pia ni mchumia tumbo wa ccm
 
...majuzi alisema nashindia mihogo na leo wanaanzisha mashule na hospitali????....amazing...kama ni kweli basi hata hayo mahospitali na mashule hawatayaweza....maana historia inamuhukumu slaa....hakuweza kushinda alichokisimamia.....fatilia historia yake....na sababu ni hizo hizo...kuasi mapito yake....
 

kwa mtazamo wako mdogo naona umeamua kuishi bila raisi kuliko kubadili mfumo? kumbe kuna watanzania ambao bado hatuoni umuhimu wa nafasi ya Raisi heri kuishi tu. sisi hatuwezi tunangoa mfumo mbovu na kuweka mfumo wenye maana na tija kwa watanzania wote hata wewe ambae hautambui mfumo wa ukandamizaji ulioko kwa sasa
 
et analindwa na usalama wa taifa????!! tena serena hotel!!!!!
hivi hao usalama walishindwa nini kumlinda nyumbn kwake?????
 

Endelea mbele na mtazamo wako mkubwa unaoufikilia,haya ndo maneno mnayoyatumia mnaishia kupata laana tu ya MUNGU,ungekua una mtazamo mpana usingekuja hata hapa ungesimama na kuzunguka inchini kuwaelimisha watz.hapa jf tuko thelusi tu ya Watanzania wote
 
Kweli huyu mzee ni mnafiki sana, kwanza kiongozi gani anayekubali kununuliwa? Hatutaki hata kumsikiliza hana maana. Kapoteza sifa na heshima ktk taifa hili. Akae kimya asipotoshe uma, hatufai
 

Mkilala mkiamka mnamuwaza Dr acha awape tiba maana ndo kazi yake na mtajuta kumfaham..... Akili yako ikiwa imetawaliwa na mihemko huwezi muelewa Dr milele ila uki relax hutajutia kumsikiliza tena na tena.... Dr hajamchagulia mtu rais alichofanya ni kummulika Lowasa na UFISADI wake wa RICHMOND na uroho wa kutaka madaraka kwa nguvu zote pia Magufuri na suala la nyumba (japo ni rumours tu)..... Sasa ni juu yako kutumia akili yako kuangalia nani anafaa kuliko mwenzie... Na hili liko wazi Dr Magufuri ndo mtu msafi hivyo naomba tumpe kura zetu ili tuendelee mbele kama taifa
 
Mbaya zaidi ni fisadi anayeogopwa na serikali zote zilizowahi kuundwa na ccm hivyo umpe Kura au usimpe akiamua kuendelea na ufisadi wake hakuna wa kumzuia.

Mtanzania mpe Kura yako Lowasa tuone kama atajifisadi mwenyewe
 

Chachu ya maendeleo inaanza na mmoja kumbe heri mimi mwenye theluthi ya watanzania ambao waliobaki tutasaidiana na wengine walioipokea taarifa hii na kuiona ina maana kwetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…