Dr. Slaa,huna hata aibu

Status
Not open for further replies.
Anasema amekopa Millioni 20 sio 140.Wakati chama kila siku wanazunguka na vikapu kuomba yeye anajikopesha.Halafu anadanganya.Dhambi ya kukiuka amri ya 6 itamtafuna hadi kaburini

hata kama ni milioni 20,nani kamruhusu.huyu nae ni fisadi tu.
 

wanafanikiwa kwa kukupua na kufisadi TRA,BANDARINI.kuna mwingine amekupua milioni 140,lakini anadai amekupua milion 20 TU.
 
Wewe acha tabia yako masuala ya uamusho ndio unaleta hapa sasa kumbe mnasubiri gas ibaki huko muendeleze mihadhara yenu huko si ndio.ebu andika upya kwanza kwani hueleweki kwani unaonekana kama mchoma makanisa vile
 
Nimo mkuu kwa ajili ya kuweka mambo sawa.Si unajua chadema wanajikweza sana kwa kila kitu,wanapiga domo tu wenzao wanafight bila kujali mvua.Nao kama wajanja weende huko.Si wanapiga kelele tu wakiwa dar.

Hauleweki, unapigana na CHADEMA au wakristo?
 

Kazi tunayo aisee..............
 
 
Kwa fikra kama hizi za kina kichwa mbovu .. Tutaweza kweli kumjua adui wa maendeleo ya nchi hii.
Au ni chama tawala kimezusha propaganda ili hoja za wanaMtwara zionekane dhaifu?!
Kama ni mbinu hiyo,nakubali sasa ukongwe wa chama ni rasilimali kubwa sana kwake.
 
Last edited by a moderator:

Ama kweli wewe ni kichwa mbovu kama za walio kutuma
 
mods, mods , mods. Is there no any need to delete this owkward post ? mzee wa watu anaambiwa "unapanua" mdomo! kwani ninyi hamkuona maandamano ya kwanza yalikua yana magnitude ya chama gani?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…