Kama hujui nguvu ya siasa kwenye nyanja zote za maisha kama ulinzi,huduma za jamii kama maji,umeme,hospitali,kilimo,madini,viwanda,ajira,shule,kodi,bei ya vitu,miundombinu kama bei ya vitu,nauli, nk basi unahaki ys kusema hivyo,vinginevyo tutajua tu kuwa wewe ni ccm unayerukaruka na kujifanya hamnazo.