Kwani yeye ni DPP?Mwambie Slaa aende Mahakamani
Mwambie Slaa aende Mahakamani
Mkapa ndiyo anatakiwa aende mahakamani kwa kudhalilishwa kuwa ni fisadi halafu huko ndiko kitaeleweka.
Kwani yeye ni DPP?
Akafanye nini?
Akashitaki kama anaona kuna kosa na ana ushahidi
Ipo siku wezi wote na wahujumu wa mali za nchi watafikishwa mahakamani, kwa hilo hakuna ubishi. Kwa sasa hivi bado hawajafikishwa kwa vile utawala wa sasa pamoja na vyombo vya dola vinawalinda. Pindi itakapokuja serikali yenye uongozi bora na yenye kufuata maadili, lazima watafikishwa mahakamani. Jambo hili ni lazima, hata kama itakuwa imepita miaka mingi. Kumbuka kesi ya Pinochet wa Chile na wengine. Wanaotuhumiwa kwa wizi, hujuma na mauaji, kaeni chonjo
Akashitaki kama anaona kuna kosana ana ushahidi
Kwani ni kazi yake kushitaki au wako wenye hiyo kazi? Sheria unaijua wewe?