Dr. Slaa Anafaa Kuwa Rais


Hivi wewe ni nani hata jina la rais wetu ajaye huwezi kuliandika vizuri au unafanya makusudi? Rais asiejilimbikizia mali ndie anayetufaa. Ajenge nyumba nzuri kjijini kwao akae nani? Hata Nyerere alipostaafu hakuwa na nyumba kijini kwake!
 

Kuna mengi ya kujifunza.

Kumbuka kuwa UONGOZI siku zote ni Taasisi inayoanzia Nyumbani.

Dr Slaa pamoja na kumaliza Degree ya Uzamivu ya Sharia za kanisa katoliki (Canon Law) lakin alishindwa kuwa mvumilivu na kuweza kuacha mke wake.

Kutokana na kuacha mke wake amejipambanua kuwa yeye SIO Mvumilivu, Msamehevu na kashindwa himili mikiki ya NDOA.

Sasa mtu kama huyu mkimpa nchi yenye mikiki lukuki ataweza kweli?

nafikiri wa Tanzania hususan kutoka Tgk mna nafasi ya kufikiria mbali zaidi na kujitoa katika USHABIKI wa watu na vyama kwa nafasi hiyo kuuubwa kabisa ya uongozi nchini mwenu.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…