Kikarara78
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 1,495
- 901
Papa D na Wana JF
Usemayo yana ukweli, tunavuna tulichopanda, unajua kila kitu kinaanzia na Mind Set ya Mtu, mimi naamini kabisa everything happen for the reason, hapa Mungu anatuonyesha na kutuonyesha njia halisi ya kutokea. Haya yoote ni Ishara tosha na ni kama wake up call
tunatakwa kujua tatizo ni nini hasa ??? ni system yetu ??? ni kulindana kwetu ??? ni katiba yetu ??? ni tume yetu ???? ni viongozi wetu ??? ni sisi watanzania ??? ni sheria zetu ???
ukishapata jibu hapo hatua ya pili nini kifanyike ???
sikio la kufa halisikii dawa, ila ipo siku yaja watanzania wakifunguka macho, watakuwa na hasira na hawa magambaz
My take: Mimi naona tatizo kubwa ni ELIMU, sio watanzania hatuna Elimu, hapana. Ni Elimu ya Uraia ya kila mtanzania kujua haki na msingi yake na katiba ya Nchi
Usemayo yana ukweli, tunavuna tulichopanda, unajua kila kitu kinaanzia na Mind Set ya Mtu, mimi naamini kabisa everything happen for the reason, hapa Mungu anatuonyesha na kutuonyesha njia halisi ya kutokea. Haya yoote ni Ishara tosha na ni kama wake up call
tunatakwa kujua tatizo ni nini hasa ??? ni system yetu ??? ni kulindana kwetu ??? ni katiba yetu ??? ni tume yetu ???? ni viongozi wetu ??? ni sisi watanzania ??? ni sheria zetu ???
ukishapata jibu hapo hatua ya pili nini kifanyike ???
sikio la kufa halisikii dawa, ila ipo siku yaja watanzania wakifunguka macho, watakuwa na hasira na hawa magambaz
My take: Mimi naona tatizo kubwa ni ELIMU, sio watanzania hatuna Elimu, hapana. Ni Elimu ya Uraia ya kila mtanzania kujua haki na msingi yake na katiba ya Nchi
Wakti wa kampeni za urais Dr. Slaa alitushauri waz-tz tusimchague JK. na kama hatumtaki yeye basi angalau tuchague hata Li-PUMBA! na endapo tutamchagua JK basi tutambue tumeingia katika matatizo.
hivi sasa petrol shida, umeme shida, shilingi inaekea kaburini, sukari usiseme,
Je kwa nini tusimwite Dr. Slaa kuwa ni mtume/nabii?