Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,503
- 1,722
tuache lawama zisizo na msingi na sifa za kijinga.slaa hawezi kuwa nabii,ana usafi gani wakati amepora/anatembea na mke wa mtu pili hali ya uchumi kuwa mgum inasababishwa zaid na external force,uchumi wa mataifa makubwa km US na UK umeyumba na una direct impact kwetu.kwa hiyo acheni kuhadaa watu.
Kupora mke kwa dr slaa kunahusiana vipi na mgaowa umeme,mfumuko wa bei,kuporomoka kwa shilingi,ufisadi nk?