Hapo kwenye blue Crackpotbado hata na kukaa na mufti hamna haja. Kama mufti ana shida na dr.slaa aende HQ ya cdm aombe kuonana na dr.tofauti na hapo hata kichaa atatoa tamko na kisha tuombe dr akae naye wamalizane! Kwan mufti ana nini mpaka dr.amtafute? Dr bora aachane na malumbano na watu kama hawa,tujenge siasa na tujenge dini zetu. Kama kuna dini inataka siasa ikajisajili kwa mh.Tendwa ndo tuanze kuipigia kura na kuisikiliza. Bye mkuu.
tuwaambie wakae kimya!:help:
Msaada wa haraka unahitajika hapa.. Tuseme wote wamekurupuka sasa tunawasidiaje!
Aisee!!Umeona mbali sana! Umeona mahali ambako wengi wetu humu hatutaki paonwe! Umesema mambacho watu humu hawataki kisikiwe wala kusemwa!!Mi kwa Mtazamo wangu kuna watu humu JF Wameshaona kama Chadema ni dini na Dr. Slaa ni NABII Utatukanwa na wahusika watasoma matusi yao na Kila kejeli utakazotumiwa lakini hawata wapa Ban, ila sasa Mod aone wewe ukijibu kejeli anaku suspend hii ndio JF Ya Ma great thinker bwana