DR SHEIN kufunga kampeni chalinze ni uoga.

DR SHEIN kufunga kampeni chalinze ni uoga.

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
Rais wa Zanzibar Dkt Ali Mohamed Shein amefunga rasmi kampeni za ubunge jimbo la Chalinze kwa kuahidi mendeleo kwa wana Chalinze kitendo cha kumtoa rais Zanzibar aje kumsaidia Riz one ni dadili za uoga wa ccm kazi aliyofanya rais Shein ni kazi ya kinana,nape na kabineti zao kwa uoga huu watanzania msishangae kesho jimbo linachukuliwa na CDM.
 
Rais wa Zanzibar Dkt Ali Mohamed Shein amefunga rasmi kampeni za ubunge jimbo la Chalinze kwa kuahidi mendeleo kwa wana Chalinze kitendo cha kumtoa rais Zanzibar aje kumsaidia Riz one ni dadili za uoga wa ccm kazi aliyofanya rais Shein ni kazi ya kinana,nape na kabineti zao kwa uoga huu watanzania msishangae kesho jimbo linachukuliwa na CDM.
Mkuu wahi painkiller haraka sana kwani mishipa ya fahamu imezidiwa.
 
Kwani kuna tatizo? Hakuna tatizooo
 
Ridhiwani Kikwete atashinda huo uchaguzi...mark my word!!
 
Kama Shein kaenda kufunga kampeni ccm watakuwa wana weweseka
 
Rais wa Zanzibar Dkt Ali Mohamed Shein amefunga rasmi kampeni za ubunge jimbo la Chalinze kwa kuahidi mendeleo kwa wana Chalinze kitendo cha kumtoa rais Zanzibar aje kumsaidia Riz one ni dadili za uoga wa ccm kazi aliyofanya rais Shein ni kazi ya kinana,nape na kabineti zao kwa uoga huu watanzania msishangae kesho jimbo linachukuliwa na CDM.

cc ccm tuna vifaa vingi acheni wivu sisi tumemleta makamu mwenyekiti wa ccm km nyie mlivyomleta makamu mwenyekiti wenu said mohamed sasa wivu wa nini? au kwa sababu cc tuna wasomi nyinyi mna vilaza? someni na nyinyi halafu mnataka nchi
yaguju
 
Ilitakiwa mzeee sema hayupo ila kazi imekwisha Asante shein
 
Rais wa Zanzibar Dkt Ali Mohamed Shein amefunga rasmi kampeni za ubunge jimbo la Chalinze kwa kuahidi mendeleo kwa wana Chalinze kitendo cha kumtoa rais Zanzibar aje kumsaidia Riz one ni dadili za uoga wa ccm kazi aliyofanya rais Shein ni kazi ya kinana,nape na kabineti zao kwa uoga huu watanzania msishangae kesho jimbo linachukuliwa na CDM.

akili za akina msigwa, lema, na wenje kama vinatumia ubongo wa kuku
 
Rais wa Zanzibar Dkt Ali Mohamed Shein amefunga rasmi kampeni za ubunge jimbo la Chalinze kwa kuahidi mendeleo kwa wana Chalinze kitendo cha kumtoa rais Zanzibar aje kumsaidia Riz one ni dadili za uoga wa ccm kazi aliyofanya rais Shein ni kazi ya kinana,nape na kabineti zao kwa uoga huu watanzania msishangae kesho jimbo linachukuliwa na CDM.

cc ccm tuna vifaa vingi acheni wivu sisi tumemleta makamu mwenyekiti wa ccm km nyie mlivyomleta makamu mwenyekiti wenu said mohamed sasa wivu wa nini? au kwa sababu cc tuna wasomi nyinyi mna vilaza? someni na nyinyi halafu mnataka nchi
yaguju
 
chadema wanaweza kuchukua jimbo kama tu,wanachalize watajitambua kama kwenye majimbo makubwa

wajitambue mara ngapi wakati waliishajua ukiwapa cdm wanaenda kujiuza mombasa na Dubei, unafikili na wao wataludia kosa la wana arusha kuwa na mbunge chakula ya watu
 
Anything can hapen tomorrow! Waswahili chalinze hawajielewi wao wanafurahia dhiki zao na majini.
 
wajitambue mara ngapi wakati waliishajua ukiwapa cdm wanaenda kujiuza mombasa na Dubei, unafikili na wao wataludia kosa la wana arusha kuwa na mbunge chakula ya watu

Rudi shule ujifunze kuandika Ludia ndio nini
 
Back
Top Bottom