itakuwa sigara zilimkolea maana anatandika sigara sana huyo bwana wa TBCcm
itakuwa sigara zilimkolea maana anatandika sigara sana huyo bwana wa TBCcm
bibie umekula chumviRTD ya enzi za marehemu David Wakati bwana
Alitaka wenzake wawe na utulivu wakati yeye anadai uchochezi ndiyo huleta maendeleo!kwa nini mlitafisiri kitendo cha lyoba kwamba anakwenda kuchukua bastola?....kwani anaendaga nayo baa
HUU MCHEZO HAUHITAJI HASIRA!EFM na TBC mbingu na ardhi! Huo ndio ukweli.Hasira za nini baba?
Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Habari Tanzania TBC, Dkt. AYOUB RYOBA kama siyo watu kumshika na kuwaamua, nusura apigane na Mtangazaji wa kituo cha Redio cha EFM Gerald Hando.
Tukio hilo lilitokea katika Bar ya LILLY'S iliyoko Mikocheni Jijini Dar es Salaam baada ya Gerad Hando kumwambia RYOBA kuwa ameshindwa kabisa kulifanya Shirika la TBC lionekane linaongozwa na Mkurugenzi mwenye elimu ya kutosha Kabisa ya kiwango cha Phd na aliyefundisha wana taaluma mbalimbali wa habari.
Baada ya ugomvi huo kuzuiwa na watu waliokuwepo karibu, DR.Ryoba aliondoka kuelekea kwenye gari lake ambapo ilitafsiriwa kuwa alikuwa anakwenda kuchukua Bastola.
Aidha Bosi huyo wa TBC alisikika akisema kuwa atamshughulikia Gerald Hando na hakuna wa kumfanya lolote.
Pombe zikiisha watapatanaUgomvi wa walevi kwa walevi hao ...
Anyway hando kasema ukweli
Ova
Hii nchi bwana , wenye vyeti halali hawana ufanisi wakat wenye vyeti feki wapo creative kuliko walio na vyeti halaliCheti kimemzidi uwezo
Wengine wakiambiwa ikweli anajiona kadhalilishwa wakati sio sahihi. Kama huyo anaringia vyeti lakini utendaji ziro laiti angemsikiliza apate ushauri kwa asiye na phd piaSasa ukiambiwa ukweli si ndii motivation ya kujipanga.. Mm nafurahi sana mtu anaponambia ukweli ambao naona yupo sahihi, najipanga kufanya bora aje anisifie.
kwani pombe huwa inamtambua mtu mwenye PhD ili imheshimu.Pombe ni kama kifo huwa haibagui hata Magu akitandika anajisahau kama ni mkuu wa nchi. Ngoja nikatoe loki kwanzaKwa mtu mwenye kiwango cha elimu ya PhD angeomba ushahidi wa kitaalamu kuthibitisha kauli ya Hando badala ya kusema atamshughulikia kwa njia ambazo hajazisema kitu ambacho ni hatari sana kwake kwani watu wengine waweza kumdhuru Hando na yeye kuwa a chief suspect.
Aliopewa hataachaNa kuna saa hata hakuna sauti kabisa........................ Huwa anapenda kuangalia msichana wangu ile kipindi ya harusi sijui kinaitwa nini my
Kwani bado anapiga?TBC hivi kwanini bado wana broadcast tu, Mkuu wa kupiga simu 360 huoni hili shirika linakula tu kodi zetu kwa kuwalipa mishahara Vilaza kama Hawa?