Dr. Ramadhani Dau katika Ubora wake

Wewe ni mtu wa hovyo sana. unajaribu kuweka vijitaarifa ili ionekane pengo lake halizibiki. Taratibu ndio mwendo, atapatikana bora zaidi.
 
AbasEgyptian ? Kuwa na staa , huyu mama/Dada si illegal immigrant , pili kama kuna sintofahamu ktk uteuzi wake in vizuri usihusishwe na urai wake kwani kuna watanzania wanawakilisha nchi zingine kwakuwa waliolewa au kuoa ktk nchi hizo kuna balozi wa UG nchini Kenya ni mtz aliye olewa na mganda etc hivyo tuwe wastaarabu kidogo na tusiwe kama watu ambao uweledi wetu Wa kuishi na majirani upo kwenye kiwango cha chini namna hii!!
 
Donyo

JAMAA anahahaa sijui kagaiwa ngapi aisee
 
Si vibaya lakini ukitafuta faraja kwa kujikumbusha historia, kupwa na kujaa ndio ilivyo bahari.
 
Sijaelewa mkuu mantiki ya huu uzi ,Dau ameshateuliwa sijui balozi wa nchi ambayo mpaka sasa haijasemwa,
Uzi huu ume uleta baada ya kuelezea kwamba Dr Wangwe sio mtanzania na kwamba kina Ombeni Sefue,Charles Kitwanga Mhagama na wenzio walimpigia Jaramba huyo mama ,Dau kafanya kazi kubwa sana NSSF ila sijajua hapa amefikaje alishajadiliwa sana Sheikh wangu Dau ,au matarajio yako ni kwamba DAU atarudishwa tena NSSF ???
 
Ale post na mlochangia mna agenda kuweni open minded... in this age beating around the bush is non sense
 
Saudi Arabia
Nadhani
 
Utatenganisha vipi uteuzi na uraia. Either ni raia wa Tanzania au siyo. Hamna mjadala. Kuolewa au kuoa mgeni hakumpi huyo spouse uraia automatically lazima aombe na lazima akane uraia wake wa awali. Kama huyo mama kweli si mtanzania, wizara ya kazi basi watakuwa wameruhusu hiyo baada ya kuona hamna mtanzania mwenye uwezo kushika nafasi hiyo.
 
Ishu si uraia,bali ni mgeni haruhusiwi kufanya kazi za utumishi wa umma
 
....Suti hukuziona ! @tatafikatu ..... hilo vazi hata Yesu kavaa na ndani ya Biblia limesifiwa kuwa ni vazi Takatifu !
Huoni mapapa na maburuda wanavaa !?
Sheikh Ally Kombo naona unamtetea mpambanaji Dau? Teh...teh..teh..
 
Dr dau ameisuka vizuri sana nssf na sidhani kama atatokea mtendaji bora zaidi yake.
 
Hakuna mtanzania mwenye uwezo wa kuifanya nssf iheshimike kama ilivyo kwa dr dau ndio maana wazir ameamua kumteua mganda kushika wadhifa huo.
 
Kuna maelewano sanaa toka ile siku Doctor alipokubali kutoa fedha za NSSF ktk mradi wa ujenzi wa Kigamboni bridge!!!
Halitakuwepo jipya hapo zaidi ya heshima ya ustaafu!
 
Get over it........aondoke wengine wapate kazi.....amekaa pale miaka Mingapi? Kila zama na kitabu chake. Ndo Cycle ya maisha......
 
Kwa kweli nimesikitika kuwa korosho tunauza nje kwa just 1$, wakati ikibanguliwa inakuwa 7$, na ukizingatia kiwanda hakicost hata 100Billion,

Ni aibu kwa taifa kwa hili, kuexport raw materials and labor! Hebu Magufuli fanyia kazi hili ndani ya 1yr
 
Mwizi ni mwizi tu. Dr Dau ni mwizi, basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…