Mjomba wa taifa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 231
- 161
Utanukuu vipi kama husomi?
Lakini uongo mbaya ana semi za kwake.
Za kuambiwa....
Akili ya mbayuwayu....
Utanukuu vipi kama husomi?
Lakini uongo mbaya ana semi za kwake.
Za kuambiwa....
Akili ya mbayuwayu....
Nimejitahidi sana kufuatilia hotuba za marais mbalimbali duniani waliopita na waliopo madarakani. Zaidi ya hapo nimejitahidi kufuatilia maongezi mbalimbali ya wasomi mbalimbali duniani nimegundua kuwa katika kujenga hoja mbalimbali wamekuwa wakitumia mifano mbalimbali ya matukio ya nyuma, maandiko ama tafiti mbalimbali zilizofanywa hapo nyuma, pamoja na theories (nadharia) mbalimbali za wasomi waliotangulia.
Nimejitahidi kufuatilia hotuba za Rais wangu Jakaya Mrisho Kikwete toka akiwa Waziri wa mambo ya nchi za nje na mpaka sasa Rais, sijabahatika kumsikia akinukuu kitabu, tafiti wala theory yeyote duniani kitu ambacho ni tofauti na wasomi wote duniani.
Kwahili sitaki kuamini kuwa JK ni msomi na anajua kila kitu hana haja ya kunukuu taaluma za wasomi wengine, bali napata mashaka kiasi kwa sababu mzee wetu anashahada ya Uchumi, sitaki kuamini hata ile theory ya DEMAND & SUPPLY anashindwa kuichomekea popote katika hotuba zake.
Mara nyingi nimekuwa nikimsikia hata katika vitu ambavyo ni quantifiable (vinavyohesabika) mwenzetu huyu amekuwa akivitamka anavyojua mwenyewe. Mfano, katika hotuba yake ya Juzi mzee alishindwa kutaja jumla ya pesa waliokuwa wakigawiwa wanufaika mbalimbali katika account ya Escrow balada yake alikuwa anasema Anna tibaijuka alipewa sh. bilion 1 na "ushee".
Kwa wale wataalamu wa Mahesabu ya kifedha jaribuni kutoa elimu ili tusiendelee kuchezea taaluma za watu.
Nukuu zake zinatoka Urafiki textile.
Wakati Obama alivyokuja tz
"A Question from Ms Christine from NBC News to President Kikwete during the Obama's press conference at Ikulu in Dar es Salaam yesterday
"President Kikwete, Did you discuss with president Obama the Tanzanian Diplomat who is stationed in Washington DC and fined a million dollars for holding a woman against her will as domestic servant. Is this person still an adviser to you and is this issue in anyway undercut your ability to fight human trafficking in you great country?"
Answers/Response from the President Kikwete
"....I am aware of a situation in Washington that involve one of our diplomats…. This incidence involves a young sister of the wife of this diplomat. He took her with them to help her getting education and support her make it in life. Then I think there was a conflict within the family, and then this young lady accuse the brother in law and the sister of using her for cheap labour. The court decided 1 million fine, an amount which for a Tanzanian there is no way that he can afford to pay, even the president.. we are here the presidents.. when I retire my retirement benefits can not pay that because we get far less. Then I think there was reconsideration for this gentleman to pay 175,000 dollars which is far as I know has already been paid; so that matter has been put to rest"
Wakati Obama alivyokuja tz
"A Question from Ms Christine from NBC News to President Kikwete during the Obama's press conference at Ikulu in Dar es Salaam yesterday
"President Kikwete, Did you discuss with president Obama the Tanzanian Diplomat who is stationed in Washington DC and fined a million dollars for holding a woman against her will as domestic servant. Is this person still an adviser to you and is this issue in anyway undercut your ability to fight human trafficking in you great country?"
Answers/Response from the President Kikwete
....I am aware of a situation in Washington that involve one of our diplomats . This incidence involves a young sister of the wife of this diplomat. He took her with them to help her getting education and support her make it in life. Then I think there was a conflict within the family, and then this young lady accuse the brother in law and the sister of using her for cheap labour. The court decided 1 million fine, an amount which for a Tanzanian there is no way that he can afford to pay, even the president.. we are here the presidents.. when I retire my retirement benefits can not pay that because we get far less. Then I think there was reconsideration for this gentleman to pay 175,000 dollars which is far as I know has already been paid; so that matter has been put to rest