WEWE NI MWONGO AU HAUKO MAKINI.
Unamaana gani?Ni Mtanzania mwenye asili ya Rwanda Au?
Ni marehemu baba yake ambaye alikuwa Daktari bingwa Muhimbili.WEWE NI MWONGO AU HAUKO MAKINI.
HAKUNA POPOTE AMBAPO JINA HILO LIMETAJWA. ACHA KUKURUPUKA NA KUANDIKA BILA KUSHIRIKISHA AKILI
Unamaana gani?
unauelewa wowote wa lugha ya kiha, kirundi na kinyarwanda?.
au kichina na kikorea?. Vip kuhusu
kihaya na luganda?
Baba yake mzazi alikuwa Dr
Watu sikuhizi wamekuwa machizi fulani hizo lugha zinaingiaje na quote yangu nakushauri nenda kwa mwalimu wako wa shule akufundishe jinsi ya kutoa mifano inayoendana. Hili sio jukwaa la lughaUnamaana gani?
unauelewa wowote wa lugha ya kiha, kirundi na kinyarwanda?.
au kichina na kikorea?. Vip kinahusu
kihaya na luganda?
wazo fikirishi aiseee,Haya majina mengine yanatia shaka kwenye uraia,nimewaza tu msinihukumu.
Majina ya kinyarwanda na kihaya yanashabianaHaya majina mengine yanatia shaka kwenye uraia,nimewaza tu msinihukumu.