Dr. Nchimbi, mwanasiasa nguli aliyeiacha CCM

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
97,869
171,695
Si kwamba amehama lahasha bali sasa hataweza kushiriki siasa za moja kwa moja za CCM kutokana na majukumu mapya aliyonayo.Katika umri wake wa utumishi Nchimbi amekuwa akihudumu ktk ngazi mbalimbali za uongozi ndani ya chama.Hii ni mara ya kwanza CCM inamkosa Nchimbi ktk structure yake.Ni wazi viatu vyake yupo vinayemtosha.Ahsante!
 
Si kwamba amehama lahasha bali sasa hataweza kushiriki siasa za moja kwa moja za CCM kutokana na majukumu mapya aliyonayo.Katika umri wake wa utumishi Nchimbi amekuwa akihudumu ktk ngazi mbalimbali za uongozi ndani ya chama.Hii ni mara ya kwanza CCM inamkosa Nchimbi ktk structure yake.Ni wazi viatu vyake yupo vinayemtosha.Ahsante!
Haachi wala hajaachishwa anajengewa uwezo wa mambo ya nchi za nje ili awe fit kwa majukumu makubwa Sana mbeleni NI sehemu ya succession plan ya CCM. Local politics yuko vizuri kwa asilimia kubwa lakini kwenye international politics yuko Zero. CCM Ina mupa exposure eneo Hilo ili awe fit siasa za ndani na za kimataifa
 
Si kwamba amehama lahasha bali sasa hataweza kushiriki siasa za moja kwa moja za CCM kutokana na majukumu mapya aliyonayo.Katika umri wake wa utumishi Nchimbi amekuwa akihudumu ktk ngazi mbalimbali za uongozi ndani ya chama.Hii ni mara ya kwanza CCM inamkosa Nchimbi ktk structure yake.Ni wazi viatu vyake yupo vinayemtosha.Ahsante!
Alisema mchakato wa kumteu (Chagua) mgombea Urais (2015) ndani ya CCM haukuwa wa huru na wahaki.

Lakini, uteuwaji (uchaguzi) huo ndio uliotuletea viongozi leo hii ngazi ya Taifa ambao ndio wememteua kuwa Balozzzz.

Kwanini asikatae uteuzi huo a Balozzz ambao misingi yake inatokana na uteuaji (Uchaguzi) ndani ya CCM kutokuwa wa huru na uwazi?
 
Kumkatalia Rahisi mwenye visasi si kesho utaona TRA na Policcm wameshamzunguka na mali zake zote!! Adaiw hadi kodi ya kutumia hewa!!! Chezea visasi wewe
 
Mbona ubalozi ni kazi ambayo majukumu yake si makubwa ki hivyo.? Au mnadhani kwenye ubalozi huko watu wapo busy ki hivyo. Tuulizeni wakongwe tuwaambie nature ya hizo kazi. Ni usomaji magazeti tu ofisini. Aende asome kireno
 
Mbona ubalozi ni kazi ambayo majukumu yake si makubwa ki hivyo.? Au mnadhani kwenye ubalozi huko watu wapo busy ki hivyo. Tuulizeni wakongwe tuwaambie nature ya hizo kazi. Ni usomaji magazeti tu ofisini. Aende asome kireno
Mkuu ubalozi gani huo wanasoma magazeti kipindi cha ngosha ?.....

Wakati ni mwendo Wa kutumiwa TISS kila wakati.......

Labda kipindi cha Jk lakini sio huyu ngosha...........
 
Si kwamba amehama lahasha bali sasa hataweza kushiriki siasa za moja kwa moja za CCM kutokana na majukumu mapya aliyonayo.Katika umri wake wa utumishi Nchimbi amekuwa akihudumu ktk ngazi mbalimbali za uongozi ndani ya chama.Hii ni mara ya kwanza CCM inamkosa Nchimbi ktk structure yake.Ni wazi viatu vyake yupo vinayemtosha.Ahsante!
hana lolote huyu ni msaka tonge tu. karibu awe nyumbu sijui nini ilimnusuru.
 
Haachi wala hajaachishwa anajengewa uwezo wa mambo ya nchi za nje ili awe fit kwa majukumu makubwa Sana mbeleni NI sehemu ya succession plan ya CCM. Local politics yuko vizuri kwa asilimia kubwa lakini kwenye international politics yuko Zero. CCM Ina mupa exposure eneo Hilo ili awe fit siasa za ndani na za kimataifa

Hivi nyie kupitia Lizaboni,mlisema Nchimbi ni fisadi? Kafilisi mali za uvccm? Au ilikua ni uongo?
 
Si kwamba amehama lahasha bali sasa hataweza kushiriki siasa za moja kwa moja za CCM kutokana na majukumu mapya aliyonayo.Katika umri wake wa utumishi Nchimbi amekuwa akihudumu ktk ngazi mbalimbali za uongozi ndani ya chama.Hii ni mara ya kwanza CCM inamkosa Nchimbi ktk structure yake.Ni wazi viatu vyake yupo vinayemtosha.Ahsante!
Hahahhaha! Weeee Jamaa huna angle yoyote ya uandishi. Empty bucket
 
Back
Top Bottom