Usidhani inatokea kwa bahati tu.Kuwa Rais Tanzania kwa Muislam ni lazima uwe Muislam poa wa kutokea Bakwata.Ukiwa siasa kali kama kina Ponda,Urais utausikia kwa wengine.Kwahiyo ondoa dhana kuwa yeyote muislam akiwa Rais atakuwa na ubinadamu tofauti na wakristo.
Allah ampatie kila lililojema hikmal za ajabu kabisa Amurukum amurukum masheitwan wabaya wasimsogelee mja huyu rais huyu aliye mwema na mwingi wa hikmal
Mm ni mkristo R/C lkn nadhani ndugu zetu waislam wana mafunzo mengi sana ya kujali utu....toka wakiwa wadogo sisi kina Alexander tukiwa na vyeo tunataka kuwa kama kina Alexander the great