Dr Mwakyembe Apangua Wajumbe wa Bodi ya Bandari (TPA)

inasikitisha watu hapa have balls kusema amewaondoa wasomi kaleta mburula.... hao wasomi na usomi wao uchwara wamesaidia nini nchi hii na hiyo port.. kama usomi ni kupewa tu madaraka hata kama unafanya upuuz kabisa nadhan shbaha ya mwalimu nyerere kuhusu elimu haijaeleweka kwa wengi.... elimu si tu kupata heshima na kazi nzuri na kusaidia familia yako elimu ni kulea ukombozi ktk jamii unayoitumikia mwakyembe ameonyesha aina ya ukombozi ambao wasomi wetu uchwara wanatakiwa waulete wanapopewa madaraka!!! fukuza wote tu
 
Mwakyembe HAJUI maana ya bodi au hana malengo mazuri na TPA.

Bodi inatakiwa kuwa na watu wenye utashi wa kutoa maoni ya kitaalamu bila uwoga. Mkuu wa Mkoa HAFAI kuwa member wa bodi kwa sababu kwa vyovyote vile atatetea kile kinachomfurahisha Rais kisiasa hata kama hakina maslahi ya kibiashara/kiuchumi kwa TPA.

Kuwafukuza wanabodi kwa kigezo cha kutaka TPA isiwe na malumbano ni ufupi wa akili. Bodi kuwa na malumbanon ni ishara ya ukomavu. Ukiwa na bodi ambayo kila kitu wajumbe wanaunga mkono basi matokeo ni KIFO cha kampuni/shirika.

Siasa isipewe kipaumbele katika masuala ya kitaalam...
 
inasikitisha watu hapa have balls kusema amewaondoa wasomi kaleta mburula.... hao wasomi na usomi wao uchwara wamesaidia nini nchi hii na hiyo port.. kama usomi ni kupewa tu madaraka hata kama unafanya upuuz kabisa nadhan shbaha ya mwalimu nyerere kuhusu elimu haijaeleweka kwa wengi.... elimu si tu kupata heshima na kazi nzuri na kusaidia familia yako elimu ni kulea ukombozi ktk jamii unayoitumikia mwakyembe ameonyesha aina ya ukombozi ambao wasomi wetu uchwara wanatakiwa waulete wanapopewa madaraka!!! fukuza wote tu

Mkuu, unapomuweka mkuu wa mkoa kuwa mjumbe wa bodi, unategemea kuna siku atasema baraza la mawaziri limekosea? Hapo bodi imeshapoteza maana yake...
 
Hivi kwanini hizi nafasi hazitangazwi????Tutachaguana mpaka lini??? Mtu anaweka tu watu wake kama anavyojiskia???? Huyo aliyemtoa reli kafanya nini?? c ndo reli imekufa???nilidhani anamfukuza kazi kabsa kumbe ndo anamuongezea wigo wa mapato???? Kweli Tanzania Tunahitaji mabadiliko ya kweli, hatuwezi tena kuvumilia mambo ya namna hii!!!
 
hakuna cha mtaalamu hapo wala nini, njaa tupu hao! Dr. Shayo pole sana na ujue imekuharibia sana CV yako kaka!:disapointed:
 
Rangi ya Mwakyembe inaanza kujionyesha taratiibu. Watetezi wake watamjua tu. Hadi 2015 kila kitu kitakua wazi
 
Mwakyembe HAJUI maana ya bodi au hana malengo mazuri na TPA.

Bodi inatakiwa kuwa na watu wenye utashi wa kutoa maoni ya kitaalamu bila uwoga. Mkuu wa Mkoa HAFAI kuwa member wa bodi kwa sababu kwa vyovyote vile atatetea kile kinachomfurahisha Rais kisiasa hata kama hakina maslahi ya kibiashara/kiuchumi kwa TPA.

Kuwafukuza wanabodi kwa kigezo cha kutaka TPA isiwe na malumbano ni ufupi wa akili. Bodi kuwa na malumbanon ni ishara ya ukomavu. Ukiwa na bodi ambayo kila kitu wajumbe wanaunga mkono basi matokeo ni KIFO cha kampuni/shirika.

Siasa isipewe kipaumbele katika masuala ya kitaalam...


Kumbe bangi ndio huwa inaharibu ubongo wako, usipoivuta huwa unaandika mambo yanayoeleweka na ya maana!! Acha kuvuta hiyo stick wewe mburula.
 
Hivi kwanini hizi nafasi hazitangazwi????Tutachaguana mpaka lini??? Mtu anaweka tu watu wake kama anavyojiskia???? Huyo aliyemtoa reli kafanya nini?? c ndo reli imekufa???nilidhani anamfukuza kazi kabsa kumbe ndo anamuongezea wigo wa mapato???? Kweli Tanzania Tunahitaji mabadiliko ya kweli, hatuwezi tena kuvumilia mambo ya namna hii!!!

Mkuu hata mimi imenishangaza kumweka Mkurugenzi mkuu wa TRL kwenye bodi ya TPA!

Badala ya kumwacha apambane na matatizo ya reli ambayo iko ICU anamwongezea majukumu mengine!

Kisamfu atatoa ushauri gani kuboresha TPA wakati mwelekeo wa reli anayoongoza hauonekani?

Haya ndiyo matatizo ya vyeo vya kupeana kIshikaji!
 
Mpango wa kufukuzana ndiyo jibu la watendaji wahuni songa mabele mwakyembe safisha mafisadi yote.
 
Hivi kwanini hizi nafasi hazitangazwi????Tutachaguana mpaka lini??? Mtu anaweka tu watu wake kama anavyojiskia???? Huyo aliyemtoa reli kafanya nini?? c ndo reli imekufa???nilidhani anamfukuza kazi kabsa kumbe ndo anamuongezea wigo wa mapato???? Kweli Tanzania Tunahitaji mabadiliko ya kweli, hatuwezi tena kuvumilia mambo ya namna hii!!!
Mkuu nafasi za wajumbe wa bodi ni kuteuliwa haziombwi labda yubadilishe sheria ndiyo twende unakotaka wewe.
 
Bahati mbaya sana nashawishika kusema, unamzungumzia mtu ambaye humfahamu. Ungemjua Kanali Simbakalia,usingethubutu sio tu kuandika, lakini hata kufikiria.

Kwa sifa gani ya utendaji isipokuwa ufisadi aliofanya akiwa NDC?
 
Kipallo Kisamfu ni Mkurugenzi wa TRC siyo TPC.ni ni uteuzi mzuri kwa sababu TRC ni mdau mkubwa wa TPC.
 
Juzi, Mwakyembe alitoa mpaka leo Jumatatu saa sita mchana kamili, majina ya wezi/walinzi wa TPA walioimba lita 20000, yawe yamefika mezani kwa katibu mkuu.

Naomba kujua ka ni kweli agizo limetekelezwa, au ilikua ni mkwara kwa ajili ya tv.

hii nchi na siasa iko siku ataanza kuendesha tagi ya cjui ataweza;anataka urais sijui
 
Back
Top Bottom