Tetesi: Dr. Manyahi wa TANESCO alikataa rushwa ya JR

sijulikani

Member
May 15, 2014
52
89
Ilikuwa ni siku chache baada ya mwaka huu (2016) kuanza ambapo Mkurungenzi wa kampuni yenye MAKSI nyingi katika kuendesha MALIPO ya ki-electronic alipomfuata Dr. Manyahi kumtakia heri ya mwaka mpya.

Jamaa huyo jina lake kwa kifupi ni JR alimfuata Manyahi ili kumpa Manyahi zawadi ya mwaka mpya.

Tuliposikia tetesi hizi tukafuatilia kuona uhusiano wa Manyahi na JR.. Taarifa tulizopata ni kwamba uhusiano pekee uliokwepo ni wa Mwalimu na mwanafunzi tu wakati JR anasoma Chuo Kikuu na Manyahi akiwa mwalimu wake kwenye Chuo Kishiriki Cha Uhandisi yaani CoET.

JR amemaliza chuoni hapo mwaka 1999.

Sasa,wakati JR anafika na zawadi yake Manyahi hakujua lolote lakini inaelekea alishajua kwamba JR anafanya kazi kwnye kampuni yenye MAKSI nyingi katika kuendesha MALIPO .

Na anamjua kwamba waliosoma na jamaa kule Ifunda wanajua alivyokuwa hatari kuiba vidude vya kuwashia tubelight.

Basi, mazungumzo yakaanza kati ya Dr. Manyahi na JR.JR akajieleza amemletea Manyahi zawadi ya mwaka mpya. Manyahi akauliza ni zawadi gani hiyo. JR akatoa bahasha na kumpa Manyahi. Manyahi akakataa kuipokea na kumwambia JR aifungue mwenyewe ili wote wawili pale waone ni nini kilichokuwa ndani ya bahasha ile.

JR akawa hana jinsi, akafungua na kutoa dola 200,000 za kimarekani (USD 200,000).

Dr. Manyahi hakumkopesha JR akamwambia wazi, "..Wewe J..., miaka yote niko hapa Chuoni, na wewe ukoa hapa Dar na kwa zaidi ya miaka 15, hujawahi kuja hata kunisalimia, halafu leo ninatimiza mwaka niwe Chairman wa TANESCO unakuja na mzigo huu wa hela, eti ni zawadi yangu?. Hivyo siipokei".
 
Lugha ya mafumbo ipo na inatunyima sana kwenye vitabu vya shale kwaajili ya kujibiamtihani speakout
 
Ina maana Chairman wa TANESCO hajui taratibu za upokeaji zawadi kwa mtumishi wa umma? Hii nayo ngonjera mpya!
 
Ilikuwa ni siku chache baada ya mwaka huu (2016) kuanza ambapo Mkurungenzi wa kampuni yenye MAKSI nyingi katika kuendesha MALIPO ya ki-electronic alipomfuata Dr. Manyahi kumtakia heri ya mwaka mpya.

Jamaa huyo jina lake kwa kifupi ni JR alimfuata Manyahi ili kumpa Manyahi zawadi ya mwaka mpya.

Tuliposikia tetesi hizi tukafuatilia kuona uhusiano wa Manyahi na JR.. Taarifa tulizopata ni kwamba uhusiano pekee uliokwepo ni wa Mwalimu na mwanafunzi tu wakati JR anasoma Chuo Kikuu na Manyahi akiwa mwalimu wake kwenye Chuo Kishiriki Cha Uhandisi yaani CoET.

JR amemaliza chuoni hapo mwaka 1999.

Sasa,wakati JR anafika na zawadi yake Manyahi hakujua lolote lakini inaelekea alishajua kwamba JR anafanya kazi kwnye kampuni yenye MAKSI nyingi katika kuendesha MALIPO .

Na anamjua kwamba waliosoma na jamaa kule Ifunda wanajua alivyokuwa hatari kuiba vidude vya kuwashia tubelight.

Basi, mazungumzo yakaanza kati ya Dr. Manyahi na JR.JR akajieleza amemletea Manyahi zawadi ya mwaka mpya. Manyahi akauliza ni zawadi gani hiyo. JR akatoa bahasha na kumpa Manyahi. Manyahi akakataa kuipokea na kumwambia JR aifungue mwenyewe ili wote wawili pale waone ni nini kilichokuwa ndani ya bahasha ile.

JR akawa hana jinsi, akafungua na kutoa dola 200,000 za kimarekani (USD 200,000).

Dr. Manyahi hakumkopesha JR akamwambia wazi, "..Wewe J..., miaka yote niko hapa Chuoni, na wewe ukoa hapa Dar na kwa zaidi ya miaka 15, hujawahi kuja hata kunisalimia, halafu leo ninatimiza mwaka niwe Chairman wa TANESCO unakuja na mzigo huu wa hela, eti ni zawadi yangu?. Hivyo siipokei".

Ikabidi JR aondoke.

Hivi ndivyo Dr. Manyahi alivyokwepa mtego wa rushwa ya JR. Hongera sana Dr. Manyahi, umekuwa mfano, USD 200,000 si kidogo ni zaidi ya shilingi 400,000,000 za kitanzania. Magufuli anapenda watu kama wewe na ndiyo maana tumeiweka hii hadharani ili ajue kuna watendani wake hawahongeki na si kila mmoja ni mwizi na mla rushwa.

Hizo hela za JR aende kwenye kampuni yake ili izidi kupata nye MAKSI kwenye MALIPO.
Haha dola laki mbili kwenye bahasha!!!

Halafu MTU mzima hajui nini kipo ndani ya bahasha!!!

Then MTU alikua akiiba viwashio vya tube light ifunda hakufukuzwa shule....

Hizi sifa zinawaponza.... Mnaonekana vihiyo na mahayawani....
 
Hiyo ilikuwa bahasha au fuko?
Hawa maxmalipo si ndo mwaka jana walisifiwa na Mkuu Dhaifu kuwa wawekezaji wazawa weledi??!
 
Hapa kuna kitu kinataka kuhalalishwa au anataka kusafishwa mtu kwa ngonjera za kipindi kileeeee!
 
Mtoa mada unazunguka kutaja jina kwa kifupi what a shit is this ? SI USEME TU JUMA RAJABU A MANAGING DIRECTOR MAXCOM AFRICA. OVER.
 
Manyahi mbona anajulikana ni mla rushwa mkubwa hapa unamsafisha tu. Lazima atumbuliwe
 
Ilikuwa ni siku chache baada ya mwaka huu (2016) kuanza ambapo Mkurungenzi wa kampuni yenye MAKSI nyingi katika kuendesha MALIPO ya ki-electronic alipomfuata Dr. Manyahi kumtakia heri ya mwaka mpya.

Jamaa huyo jina lake kwa kifupi ni JR alimfuata Manyahi ili kumpa Manyahi zawadi ya mwaka mpya.

Tuliposikia tetesi hizi tukafuatilia kuona uhusiano wa Manyahi na JR.. Taarifa tulizopata ni kwamba uhusiano pekee uliokwepo ni wa Mwalimu na mwanafunzi tu wakati JR anasoma Chuo Kikuu na Manyahi akiwa mwalimu wake kwenye Chuo Kishiriki Cha Uhandisi yaani CoET.

JR amemaliza chuoni hapo mwaka 1999.

Sasa,wakati JR anafika na zawadi yake Manyahi hakujua lolote lakini inaelekea alishajua kwamba JR anafanya kazi kwnye kampuni yenye MAKSI nyingi katika kuendesha MALIPO .

Na anamjua kwamba waliosoma na jamaa kule Ifunda wanajua alivyokuwa hatari kuiba vidude vya kuwashia tubelight.

Basi, mazungumzo yakaanza kati ya Dr. Manyahi na JR.JR akajieleza amemletea Manyahi zawadi ya mwaka mpya. Manyahi akauliza ni zawadi gani hiyo. JR akatoa bahasha na kumpa Manyahi. Manyahi akakataa kuipokea na kumwambia JR aifungue mwenyewe ili wote wawili pale waone ni nini kilichokuwa ndani ya bahasha ile.

JR akawa hana jinsi, akafungua na kutoa dola 200,000 za kimarekani (USD 200,000).

Dr. Manyahi hakumkopesha JR akamwambia wazi, "..Wewe J..., miaka yote niko hapa Chuoni, na wewe ukoa hapa Dar na kwa zaidi ya miaka 15, hujawahi kuja hata kunisalimia, halafu leo ninatimiza mwaka niwe Chairman wa TANESCO unakuja na mzigo huu wa hela, eti ni zawadi yangu?. Hivyo siipokei".

Ikabidi JR aondoke.

Hivi ndivyo Dr. Manyahi alivyokwepa mtego wa rushwa ya JR. Hongera sana Dr. Manyahi, umekuwa mfano, USD 200,000 si kidogo ni zaidi ya shilingi 400,000,000 za kitanzania. Magufuli anapenda watu kama wewe na ndiyo maana tumeiweka hii hadharani ili ajue kuna watendani wake hawahongeki na si kila mmoja ni mwizi na mla rushwa.

Hizo hela za JR aende kwenye kampuni yake ili izidi kupata nye MAKSI kwenye MALIPO.
new member unakuja kumpigia debe jamaa yako.


swissme
 
Mi naona angepokea ila.akatoa taarifa kwamba amepokea. Na kwasababu hawakuwa na mkataba au deal yoyote basi Manyahi angekuwa huru kuitumia na wala jama asingekuja kumlaumu Manyani kwani yeye si mtendaji Tanesco. Na hayuko tender board.
 
Back
Top Bottom