Ila wale wa majipu hawakutakiwa kuwa na mapungufu kwa kuwa wao ni Miungu?! Mbona unacontradict?!Mtoa mada bila shaka ni muhanga wa makontena, sidhana kama kuna binadamu atafikia utakatifu anaoutaka. lakini wengi tunaamini katika utekelezaji wa mambo ya msingi. Hata hao anao wa envy akina Mandela na Mwalimu wako na mapungufu yao pia........
uhanga wangu wa kontena uko wapi?? muulize sefue sasa nini kimempataMtoa mada bila shaka ni muhanga wa makontena, sidhana kama kuna binadamu atafikia utakatifu anaoutaka. lakini wengi tunaamini katika utekelezaji wa mambo ya msingi. Hata hao anao wa envy akina Mandela na Mwalimu wako na mapungufu yao pia........
na mimi pia nimemsamehemmemsamehe wewe na nani??
Nakubariana kuhusu REAL MAJIPU. wanasiasa kwa kuwa wanajua wapo katika nafasi zile katika limited time. Hivyo wanafanya yao ili wakitoka wabaki katika utajiriIla wale wa majipu hawakutakiwa kuwa na mapungufu kwa kuwa wao ni Miungu?! Mbona unacontradict?!
Ukweli ni kwamba team zinapangwa upya that sounds much. Hayo mengine ni by the eay tu, kwa sababu majipu makubwa ni wanasiasa kuliko hao watendaji, na hakuna mwanasiasa aliyeguswa hadi sasa. Hivyo tuache team mpya za kiutendaji ziundwe, ila kuhusu real majipu naamini bado sana, ingawa ni good move!
mbona hiyo mifano ni viboriti isitoshe jpm sio muhusika. ukiwa nyumbu ni shiiiida.Za sikukuu wakuu, naona na mtandao umekuwa mupyaa
Yesu, huyu tuliyeazimisha birthday yake aliwahi kusema "kabla hujamsema mwenzio ana kibanzi jichoni kwake, jitoe kwanza boliti kwako"
Mh Rais ameapa kututoa vibanzi vyote na ameanza kwa kasi kuubwa hata kudiriki kuondoa kibanzi cha TRL na RAHCO (naunga mkono) . Lakini asidhani tumesahau kuwa ana miboliti machoni pake anayopaswa kuyatoa kabla ya kuendelea na vibanzi vyetu, tena asipoyatoa yatamsababishia ule ugonjwa unaoitwa double standard.
boliti yenyewe ni ile unaccounted for, 200+ billion zilizosemwa bungeni na hata katika report ya CAG,
Kuna boliti ya Ferry ya kutoka dar kwenda Bagamoyo (sakata la aibu hili)
Boliti la meli ya Samaki za magufuri
Boliti la kuuza nyumba za serikali (hapa ndo hatari)
Boliti la tender ya Daraja la Kigamboni
NDUGU Rais , Haya maboliti unajitoa lini, ili upate uhalali wa kututoa vibanzi machoni kwetu
Update:
kumbe hili boliti lenye red, ombeni alihusika, hongera kwa kumtumbua, je hayo mengine unajitumbua lini
TAKUKURU wapo kazini, huko bungeni mapigo ya moyo ya baadhi ya wabunge kwa sasa yanapanda kwa kasi kubwa. Mwenye hekima huheshimu maana ya muda, mwenye pupa huishia kupata matokeo yasiyo na ubora alioutegemea. JPM wanamdharau kwa sababu ya accent yake anapoongea, lakini kichwani yupo vizuri sana.
Kahakikisha mahakama inabadilika kiutendaji, kahakikisha mahakama ya mafisadi inaundwa haraka, kahakikisha ofisi ya DPP inaundwa kiufanisi zaidi ili atakapoanza shughuli nzito mambo yaweze kwenda kwa ufanisi.
Kinachokusudiwa kufanywa na uongozi wa JPM ni zaidi ya ujumbe wa katuni za Kipanya.Tumeangalizwa na Kipanya ati Taulo la guest halikaushi maji mwilini
Mlitumia nguvu nyingi kutuaminisha kuwa lile fisadi papa a.k.a mamvi ndiyo alifaa kuwa rais huku mkijuwa ni MTU mchafu ambaye hafai hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi!!! Hapa kazi tu.
Na mimi.mmemsamehe wewe na nani??