Dr. Magufuli, tujengee umoja ndani ya chama chetu

Dr. Magufuli, tujengee umoja ndani ya chama chetu

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
21,854
Reaction score
26,094
Tujengee umoja ndani ya chama chetu,

Avoid kuzunguka na mjumbe yeyote ambaye aidha alikuwa timu Membe ama timu Lowassa, I prefer Mh. Kinana, Kwa kufanya hili japo ni dogo sana lkn lina nguvu kali sana, Dont be biased!!

Kiamini kile akili yako inachokutuma!!

Maneno ya chuki zinazoweza kupandikizwa hasa kipindi hiki ni hatari na anguko kuu,

Thanks!!


 
ukawa unabanwa NA kifungu cha tano cha KATIBA,

Kuna misunderstand nzito sana!,

Kwamba chama kitakachotoa rais ni lazima kiunde serekali chenyewe na si kushare!

hapo ndipo penye mgogoro !!!

who to trust others!!!!????

in fact ukawa ni LAZIMA KUSAMBARATIKA!!!

HIVYO KUPELEKEA MAGUFURI KUWA RAIS WENU

no way out!!
 
Magufuli hatakaa ashinde u Rais maana anaonekana hajui hata anataka iufanya nini..yy yuko busy kutuambia niamini nitumeni..pumbafu

naapa kwa mungu mkuu magufuli ndiye rais

anahitaji adjustment ndogondogo tu!!
 
Baadhi ya wana jf tunashangilia Magufuli kuwa Rais utadhani mazuzu! Hivi munaufahamu vizuri mfumo wa ccm au ni ushabiki tu unaowapeleka huko. Atakuwa rais sawa lkn ile njozi ya mabadiliko kwa watanzania ni ndoto!!!! Rejea kilio cha watz juu ta miswada iliyopitishwa kws mwendo wa fang'fang' bubgeni juzi! Huyu amepitishwa ili kuhakikisha sheria hiyo inatekelezwa kama wakuu watakavyoelekeza!!! Jaribuni kutumia muda na ubongo kuliona hilo. Hapa hakuna tena haja ya malumbano! System inaendelea ile ile na subiri kama matukio ya ufisadi yatakoma chini ya Magufuli! Yeye aweza kuwa na dhamira nzuri lkn wapambe wake hasa alionao kwenye msafara wa kujitambulisha wataendelea na uchafu uleule!!! Yetu macho! Endeleeni na ccm baadaye mtakumbuka yalisemwa humu. Maisha yatazidi kuwa shubiri kwa wajinga wengi na ambao ndio wapiga kura zaidi ya werevu!
 
Mtajiju na makomeo wenu maana keshachoka tayari wakati hajaenda kutambulishwa kanda ya kaskazini
 
Mtajiju na makomeo wenu maana keshachoka tayari wakati hajaenda kutambulishwa kanda ya kaskazini
Kwani kanda ya kaskazini ndo wenye kuamua nani awe rais wa Tanzania na sio watanzania wa kanda zote ndo wenye kuamua kupitia sanduku la kura?
 
ukawa unabanwa NA kifungu cha tano cha KATIBA,

Kuna misunderstand nzito sana!,

Kwamba chama kitakachotoa rais ni lazima kiunde serekali chenyewe na si kushare!

hapo ndipo penye mgogoro !!!

who to trust others!!!!????

in fact ukawa ni LAZIMA KUSAMBARATIKA!!!

HIVYO KUPELEKEA MAGUFURI KUWA RAIS WENU

no way out!!


Mkuu hapo pekundu wewe rais wako ni yupi? Pia huyoMagufuli mbona uchaguzi haujafanyika amekuwa rais lini? Una mikwara na mizengwe kuwa UKAWA LAZIMA KUSAMBARATIKA kana kwamba umeumbwa kwa kungaunga.

BE BALANCED Huandikii mabozongwa
 
Back
Top Bottom