chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,316
- 45,122
Jina la lowasa liko mitandaoni tu na siyo mitaani
Hao waliopo mitandaoni ni marobot au wanaishi mawinguni??????
Jina la lowasa liko mitandaoni tu na siyo mitaani
nmekubali ccm haijakurupuka kumtangaza mgombea uraia kwa tiketi ya chama hicho,,,takiliban wk nzima jamaa yupo mikoan anachapa kaz bla kuongelea kampein ila anapokea watu wengi na wenye umakin kimtazamo tofaut na vyama vingine hukusanya umati wenye vjana wengi wenye sura za mahitaji ya kitu flan,,na ukikuta wazee kimtazamo wanadalili zakupotea,,,ahasante ccm kutupa mtu anayetangaza tanzania kwanza vyama baadae.Mungu akubariki DR MAGUFULI
Pumba za alizeti
Angekua hana uchu asingekua hapo alipo.Angebakia kua mwalimu tu.Magufuli hoyee,uzuri hana uchu wa madaraka