Dr. Kitila amkana Dr. Slaa


Mkuu no doubt Kawambwa na Mulugo wameleta division 5 baada ya kujua kuwa zilikuwepo kabla ya kurasimishwa. Kitila gives the public an opportunity of doubt. Na huyu alikuwa ni Rais wa DARUSO na dean of students DUCE. I fail to imagine the products that have been lectured by him. They will have the homework to embark on self negation
 

Hii ni kawaida ya watu wanapozidiwa hoja. Hawana uwezo wa kukabiliana na hoja za akina Zitto na Kitila. Wanachofanya sasa ni kuwa-label, na hii ndiyo tabia ya madikteta wote duniani!
 

Duh...kumbe na wewe unajua Mbowe/Slaa/Lema/Sugu/Msigwa ni viongozi wa hovyohovyo?atleast akili yako imeongea kile ambacho moyo wako unajitahidkutokiona.

Kama Mh Sitta alivyowahi kusema,Chadema ina wigo mwembamba sana wa viongozi,hakuna namna utataja majembe ya Chadema bila kuwataja Mbowe/Slaa/Sugu/Msigwa na Lema,ndiyo viongozi wenyewe hawa...usiwanyanyapae..

..Na bahati mbaya majembe haya ndio yanalingana sifa na hao vidampa wa CCM uliowataja,so unaweza kuona tofauti iliyopo kati ya ubora wa CCM na ule wa Chadema ukizingatia uwezo wa majembe yake.

 

Sasa wewe ni mtabiri au mpiga ramli. Ambacho kingeifanya CDM kujijenga ni kanuni iliyokanzisha, ni hitikdi yake na mikakati yake au personalities? Uchambuzi wakati mwngine fanyeni bila kuwa biased, prejudiced and antagonized maana hata kama ulikuwa na hoja unaifisha kabisa. Inawaunga mkono watu wanaofanya mambo chini ya busati? Hawa hawafai toka zama za Yesu. Wanajianya kupita under the carpet eti ndio demokrasia na mageuzi. Halafu mnataka umma uwaamini? Kama walichotaka kukifanya kilikuwa kwa maslahi ya demokrasia na manufaa mapana ya Taifa wangepitia niiaza uwazi kwa kufata katiba na kanuni za chama. Wangekataliwa wangeenda kwa msajili wa vyama au mahakamani kutauta haki
 

Umeanza kunibandikia maneno yako yawe yangu!CCM ndiyo ina viongozi wa hovyohovyo na sio CHADEMA!!

Dr Slaa HAWEZI kuwa kiongozi wa hovyo kwa mwana siasa yyt active aliyepo CCM leo!Tuanze kutaja hapa sifa za Dr Slaa kulinganisha na kiongozi yyt yule aliyepo CCM!Nasubiri unitajie kiongozi yyt yule mwadilifu ndani ya hii CCM ya JK kumzidi Dr Slaa!

Kinacho onekana ni kutishika na akina Dr Mwakyembe wanapoita media kutuzuga watz kama wanafanya kazi!Kinachokutisha nni Magufuli na kilometer zake za uongo za barabara na mtu asiye na exposure atajua TZ ina barabara nzuri kweli kweli miaka 52 baada ya Uhuru!Hao unao waona wewe masiah ni viongozi hovyo hovyo kabisa na wlaistahili sasa wawe jela Ukonga kwa matumizi mabaya ya pesa zetu!

Nasubiri uchambuzi zaidi na nitashinda kwa hoja na ww utashinda kwa vioja!
 
uzinzi wake umeujuaje?au alishavuruga familia yenu wote,by the way wewe unae waita wenzako nasty names u msafi?


Huwezi kuzaa na mwanamke ambae hujamuoa bila kuzini nae, taratibu za kanisa za ndoa ziko wazi.
 

Tuanzie hapa,ni nini uadilifu wa Dr Slaa?kumbuka..uadilifu haupimwi kwa maneno.
 
Tuanzie hapa,ni nini uadilifu wa Dr Slaa?kumbuka..uadilifu haupimwi kwa maneno.

Lkn si wewe ndiye uliwaita viongozi wa CCM ni majembe?Sasa unanigeukia mm tena?

Labda wewe ndiyo uanze mkuu;nn sio uadilifu wa Dr Slaa na ikiwezekana relate ukosefu huo wa uadilifu wa Dr Slaa na matatizo haya makubwa ya uchumi yanatotukabili!

Nasubiri mjadala endelevu

NB:Je unajua kuna watumishi wa UMMA hadi leo hawajalipwa mshahara kwa sababu HAZINA hamna pesa?
 
Mkuu Dr. Kitila, achana na mabishano hasa baada ya kumalizana na cdm, unajua sisi tuliokuwa naawe Southampton tunakushangaa sana jinsi unavyojiingiza katika mambo ambayo yanakushusha hadhi yako kama mwana taaluma, jamaa huku St. MARY'S wanakusikitikia sana kufikia hapo, achana na mambo haya , umeshamalizana na CDM, songa mbele na taaliuma yako. Ni usahuri, mabishano ya aaina hii achana nayo, jiepushe na mashabiki hasa baada ya kumaliza hili.
 

una uhakika na hiyo taarifa
 
Uongo wa Dr Slaa ndiyo unesababisha UMEME upande kwa 78%?

Tuvulana tujinga tunapiga kimaisha lkn bado tu wapo kuisifia CCM!Matatizo haya tuliyo nayo ya watoto wetu kusomea madarasa ya nyasi hajaletwa na Mungu!

ebu waulize hao mamburura..
 

Nimesema hivyo baada ya kuona ukidai kuwa Dr Slaa ni muadilifu kuliko yeyote,ndio maana nilipenda nijue hiyo definition yako ya uadilifu..

Hayo ya watumishi wa umma na matatizo ya nchi,kama nilivyosema sikubaliana na nchi inavyokwenda kwa sasa lakini tofauti na wewe ninatambua pia ukweli mchungu kuwa uongozi wa Chadema uliopo sasa,zingatia jinsi wanavyoiendesha Chadema,ni wa hovyo zaidi kuliko uongozi wa serikali iliyopo. So ukiniuliza mimi,nadhani chini ya uongozi huu wa Chadema basi hali ingekuwa hovyo zaidi kuliko ilivyo sasa.
 

Ukubwa wa ukosefu wa MAADILI unapimwa kutokana na athari kwa jamii uliyoizunguka;Kwa mfano:

1.Magufuli alitumia madaraka yake vibaya kuuza nyumba za serikali na ingine kumpa hawala yake asiye mfanyakazi wa serikali hivyo kuisababishia serikali hasara ya mabilion kwa mwaka kwa kuwaweka Mawaziri na watendaji wengine mahotelini(Naibu Waziri Charlez Tibeza yy anakaa hotelini na kulipiwa Milion 100 kwa mwezi na serikali)

2.Dr Mwakyembe alitumia madaraka yake vibaya kw akuipa CCM mradi wa bandari ya nchi kavu Kurasini bila kutangaza tenda hiyo kwenye gazeti la serikali ili ishindaniwe;kibaya zaidi hakuliambia Bunge kuliambia kama mtaji wa bandari hiyo atautoa wapi!

3.Kinana mtendaji mkuu wa CCM amewahi kukiri hadharani kuwa meli iliyokamatwa East Asia na pembe za ndovu ni yake lkn mmliki wa pembe hizo hajulikani na hajawahi mtaja hadi leo!Je kama owner wanapo kodi meli zako hamna Bill of lading kujua nani aliichukua siku fulani?

4.Kwenye uzinzi wala huko tusifike maana mmh!Na kwangu uzinzi SIO NDIYO ULITUFIKISHA HAPA bali ni ubinafsi wa CCM

Tuendelee kufundishana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…