Ki Mun
JF-Expert Member
- Oct 6, 2014
- 3,443
- 4,384
JK bana utajikuta umempenda tu hata kama hutaki...leo alitembea Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine(SUA) na kuwaomba menejimenti ya chuo hicho wasisite kumtuma kwingineko duniani kama wana jambo wanahitaji msaada kwani yeye huwa anatembea sana, haha:
"Jamani kama mnalo jambo linawatatiza niambieni tu, mimi natumia ile kanuni ya mbwa ile, naamini heri kutembea bure kuliko kukaa bure...maana ukimwona mbwa anazunguka zunguka tu huko anaweza akaokota hata FUPA, lakini ukikaa tu nyumbani hupati kitu"....hapo kikafatia kicheko cha kutosha (Dr.Kikwete akiwa Chuo Kikuu Sokoine leo tarh 20/11/2017)
Source: ITV Habari
"Jamani kama mnalo jambo linawatatiza niambieni tu, mimi natumia ile kanuni ya mbwa ile, naamini heri kutembea bure kuliko kukaa bure...maana ukimwona mbwa anazunguka zunguka tu huko anaweza akaokota hata FUPA, lakini ukikaa tu nyumbani hupati kitu"....hapo kikafatia kicheko cha kutosha (Dr.Kikwete akiwa Chuo Kikuu Sokoine leo tarh 20/11/2017)
Source: ITV Habari