Enough is Enough, Wakongo wanatakiwa wasimame pamoja, wameshachezewa vya kutosha.
Anahitajika kiongozi mwenye Hekima na unyenyekevu wa Hali ya Juu kuwaunganisha hawa watu,
Ni mataifa makubwa Duniani yakishirikiana na majirani wa Congo ambao ni Waafrica wameichezea Congo kwa Lengo la kuiba rasilimali zao.