DR Bilali ni Gamba akademia

Joined
Apr 3, 2012
Posts
35
Reaction score
8
Kwa nini yeye kila siku akivaa gamba zake za kijani ni tofaut....na kamba mnamkumbuka miaka ya nyuma aliwasumbua sana CCM kule Zenj, wanamuhofia sana
 

Attachments

  • 6.jpg
    61.3 KB · Views: 131
  • 13_.jpg
    58.5 KB · Views: 113
muacheni jamani mzee wetu, makamu wa rais wa JMT.....
~ muungano
~ mazingira
ndio majukumu yake makuu JMT tu
LOD inashuka sasa kwake...

V
SENGEREMA
 
Huwa anajitahidi kuzingatia ushauri wa kamati ya ufundi na anajitahidi avae vazi lenye mfuko wa kufichia mikasi.
 
muacheni jamani mzee wetu, makamu wa rais wa JMT.....
~ muungano
~ mazingira
ndio majukumu yake makuu JMT tu
LOD inashuka sasa kwake...

V
SENGEREMA
Kuna kazi moja umesahau ambayo ndio anajitahidi sana kuifanya, ya kila siku kutembea na mkasi mfukoni kwa ajili ya kukata utepe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…