Dr. Bashiru, Nape na Kitila mkumbo live Azam two.

Dr. Bashiru, Nape na Kitila mkumbo live Azam two.

TAWA

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2013
Posts
3,674
Reaction score
1,572
Wanajadili nafasi ya demokrasia ndani ya vyama wakati wa kura za maoni.
 
Hivi Tanzania ina uhaba wa wazungumzaji kwenye TV, Redio na Magazeti? Mbona wanakuwa wanajirudia hao hao kila siku? Ndio maana wanapata viburi na kufikia hatua ya kununuliwa na watawala!
 
wote wananena vzuri sana utaifa uko mbele skujua kua nape nae anajua kuongea vema yale maneno anayatoaga wap
 
Wametoa crop inaonesha Nyerere anaongelea mabadiliko lakini tofauti akina Lowassa wanarubuni wananchi kwa kutokuongelea Mzee alikusudia nini, Nyerere anasema mabadiliko ya mtu anayeichukia rushwa na hata tukimtazama tuseme kweli huyu anatufaa ..sasa angalia kinachosemwa na Lowassa huku akiongea nusu sentensi badala ya kuimalizia sentensi ya Nyerere, na hii kwa watanzania wazembe inatosha kuwalaghai kwasababu wengi si wafatiliaji na si wadadisi wa vitu na mambo yanayowahusu hata wao wenyewe ..wamekalia ushabiki kana kwamba ni mpira Wa yanga na simba
 
Waseme tu fedha za escrow zinagaiwa lini inaniuma sana
 
Wametoa crop inaonesha Nyerere anaongelea mabadiliko lakini tofauti akina Lowassa wanarubuni wananchi kwa kutokuongelea Mzee alikusudia nini, Nyerere anasema mabadiliko ya mtu anayeichukia rushwa na hata tukimtazama tuseme kweli huyu anatufaa ..sasa angalia kinachosemwa na Lowassa huku akiongea nusu sentensi badala ya kuimalizia sentensi ya Nyerere, na hii kwa watanzania wazembe inatosha kuwalaghai kwasababu wengi si wafatiliaji na si wadadisi wa vitu na mambo yanayowahusu hata wao wenyewe ..wamekalia ushabiki kana kwamba ni mpira Wa yanga na simba

Hayo ni maneno ya nape! You can define it the way you want
 
Wametoa crop inaonesha Nyerere anaongelea mabadiliko lakini tofauti akina Lowassa wanarubuni wananchi kwa kutokuongelea Mzee alikusudia nini, Nyerere anasema mabadiliko ya mtu anayeichukia rushwa na hata tukimtazama tuseme kweli huyu anatufaa ..sasa angalia kinachosemwa na Lowassa huku akiongea nusu sentensi badala ya kuimalizia sentensi ya Nyerere, na hii kwa watanzania wazembe inatosha kuwalaghai kwasababu wengi si wafatiliaji na si wadadisi wa vitu na mambo yanayowahusu hata wao wenyewe ..wamekalia ushabiki kana kwamba ni mpira Wa yanga na simba
Tumekaa miaka zaidi ya 50 na hizo porojo unazoleta,hatutaki tena maendeleo,tunachotaka ni kuiondoa ccm basiii...! Hii haijalishi km mgombea wetu ni mzuri au la,tunapiga kura za hasira mkuu. Makomeo atapata kura chini ya elf 8 kwa nchi nzima....!
 
Na sisi kwa namna moja huwa tunataka kujitoa ufahamu kidogo.
Kwama Mzee Nyerere kusema" Watu wanataka mabadiliko, Wasipo yaona ndani ya CCM watayatafuta Nje ya CCM" Hii ni kauli ya kifalsafa
Kila mtu anaweza kuitafakari vyema kulingana na namna anavyoona inaweza kumsaidia katika kujenga na kuhalalisha hoja zake kama anavyoitumia Lowassa.

Wanaotoka CCM na kwenda vyama vingine kwa kutumia kauli hii wako sawa kabisa.
Ukienda mbali zaidi utakuta anasema mambo na tabia zinazofaa kwa watu wanaotaka uongozi ndani ya CCM Waweje!
 
Pamoja na hayo, Lowasa ndo gumzo kwa sasa, sijui huko mbele pengine upepo utabadilika lakini kwa sasa yeye yuko top.
 
Wametoa crop inaonesha Nyerere anaongelea mabadiliko lakini tofauti akina Lowassa wanarubuni wananchi kwa kutokuongelea Mzee alikusudia nini, Nyerere anasema mabadiliko ya mtu anayeichukia rushwa na hata tukimtazama tuseme kweli huyu anatufaa ..sasa angalia kinachosemwa na Lowassa huku akiongea nusu sentensi badala ya kuimalizia sentensi ya Nyerere, na hii kwa watanzania wazembe inatosha kuwalaghai kwasababu wengi si wafatiliaji na si wadadisi wa vitu na mambo yanayowahusu hata wao wenyewe ..wamekalia ushabiki kana kwamba ni mpira Wa yanga na simba
We vipi ..kwa hiyo unafikiri wananchi wanaishi kwa kuraririshwa?....sie tunataka mabadiliko tunayotaka sisi kwa tafsiri yetu na sio unayodeduce wewe kutoka kwa Nyerere......Mabadiliko yanayotakiwa ni kuitoa CCM na its corrupt system....hizo tafsiri zenu nyingine ni za kwenu hizo endeleeni nazo tu hamna anayewakataza!
 
Yaani jamani mi sijui aje na nani na sera zipi ili kunibadili msimamo wangu,,maana ccm ctaki hata kuwasikia
 
Back
Top Bottom