Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
- Thread starter
- #41
Huwezi jua maana shetani nae akizeka huwa malaikaDr Bana na Humphrey Polepole ni baba mmoja na mama mmoja na ni mikada ya CCM. Kama Bana ni msomi akumbuke alioyasema kuhusu mkwamo wa kisiasa wa Zanzibar ikiwa kweli anaamini kuwa "CCM lazima kikubali utamaduni na kanuni za kukubali mfumo wa vingi vya siasa"
Ni unafiki wa kisomi.