Ivi ulipozaliwa ulianza kutembea na kwenda mbio au ulifinywa ukatoa makelele ya kulia ?
Sasa haya ya DPP ndio kwanza yamezaliwa ,haya si muujisa wa Nabii Issa Bin Marium kwa hapo hapo utaanza kutoa maneno tuseme faida .
Mbona mnatutia aibu kutaka faida ya papo kwa papo ,mna tatizo la kuuziwa au kuuza mali za wizi,,, eei ndio uzoefu wa kupata faida ya papo kwa papol