Hawa jamaa, walishaua mtandao wa Samuel eto'o kule cameroon....MTN wanachechemea pia...Mozambuque hakuna mwenye hamu ya kufanya biashara ya mawasiliano ya simu...East timor na Cambodia wamekiri tayari...
Tigo, Voda, ttcl, kazi wanayo..tena si kazi ndogo. Punde minara yao itanyewa na ndege. Tusubiri tuone.