Hahahah..maneno ya mkosaji hayo..mkuu kama ulishindwa kuitumia au huna pesa ya kununua baadhi ya app basi usiseme inamshinda..binafsi tangu niache kutumia sumsung sijajutia hata kidogo...
Hahahah..maneno ya mkosaji hayo..mkuu kama ulishindwa kuitumia au huna pesa ya kununua baadhi ya app basi usiseme inamshinda..binafsi tangu niache kutumia sumsung sijajutia hata kidogo...
Povuuu lako, angilia vyombo vinavofanya tafiti vinasemaje, siwezi kufanya utafiti kwako tuu then nikaja na majibu ya kuwa iphone ni nzuri kuliko android kisa wewe umesema iphone ni nzuri
Povuuu lako, angilia vyombo vinavofanya tafiti vinasemaje, siwezi kufanya utafiti kwako tuu then nikaja na majibu ya kuwa iphone ni nzuri kuliko android kisa wewe umesema iphone ni nzuri