Bamileck Member Joined Jul 26, 2021 Posts 26 Reaction score 39 Mar 25, 2024 #1 Pamoja na umahiri wao redioni, kuna sehemu fulani katika maisha wanaitendea haki ipasavyo. Je, ni sehemu gani iyoo
Pamoja na umahiri wao redioni, kuna sehemu fulani katika maisha wanaitendea haki ipasavyo. Je, ni sehemu gani iyoo
bampami JF-Expert Member Joined Nov 5, 2011 Posts 5,700 Reaction score 4,126 Mar 25, 2024 #2 Bamileck said: Pamoja na umahiri wao redioni Kuna sehemu flani Katika maisha wanaitendea haki ipasavyo Je ni sehemu Gani iyooView attachment 2944319 Click to expand... Wanawake
Bamileck said: Pamoja na umahiri wao redioni Kuna sehemu flani Katika maisha wanaitendea haki ipasavyo Je ni sehemu Gani iyooView attachment 2944319 Click to expand... Wanawake
Mjanja M1 JF-Expert Member Joined Oct 7, 2018 Posts 4,197 Reaction score 14,890 Mar 25, 2024 #3 Ni Kwenye yale masuala ya kuoa Oa. KATAA NDOA LINDA KIBUNDA CHAKO. KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 53,159 Reaction score 72,199 Mar 25, 2024 #4 UCHAWA VS UKOSOAJI
Half american JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 45,075 Reaction score 111,682 Mar 25, 2024 #5 Upara
M marisi schwein JF-Expert Member Joined Dec 3, 2013 Posts 1,037 Reaction score 3,181 Mar 25, 2024 #6 Masoud Kipanya ana akili sana! Sijajua kwanini ndoa zinamshinda?
Bamileck Member Joined Jul 26, 2021 Posts 26 Reaction score 39 Mar 25, 2024 Thread starter #7 marisi schwein said: Masoud Kipanya ana akili sana! Sijajua kwanini ndoa zinamshinda? Click to expand... Sidhan kama zinamshinda ni kwamba anaongeza wake
marisi schwein said: Masoud Kipanya ana akili sana! Sijajua kwanini ndoa zinamshinda? Click to expand... Sidhan kama zinamshinda ni kwamba anaongeza wake
Sultan MackJoe Khalifa JF-Expert Member Joined Nov 24, 2022 Posts 7,697 Reaction score 15,966 Mar 25, 2024 #8 Kp yupo juu kuliko huyo Maumau.
B Burrell JF-Expert Member Joined Feb 4, 2024 Posts 542 Reaction score 1,026 Mar 25, 2024 #9 Kipanya ni smart sana, alafu pia anaonekana ni mtu poa sana. Kwenye kundi lake namuweka na watu wengine, kama Jembe ni Jembe, Denzel Trainer, Waziri Salum.
Kipanya ni smart sana, alafu pia anaonekana ni mtu poa sana. Kwenye kundi lake namuweka na watu wengine, kama Jembe ni Jembe, Denzel Trainer, Waziri Salum.
B Burrell JF-Expert Member Joined Feb 4, 2024 Posts 542 Reaction score 1,026 Mar 25, 2024 #10 Bamileck said: Sidhan kama zinamshinda ni kwamba anaongeza wake Click to expand... ni kweli.
B Burrell JF-Expert Member Joined Feb 4, 2024 Posts 542 Reaction score 1,026 Mar 25, 2024 #11 Joseverest said: UCHAWA VS UKOSOAJI Click to expand... KP yupo kwenye ukosoaji tena bila ya kuwa na jazba! Smart sana huyu bro.
Joseverest said: UCHAWA VS UKOSOAJI Click to expand... KP yupo kwenye ukosoaji tena bila ya kuwa na jazba! Smart sana huyu bro.
Toxic Concotion JF-Expert Member Joined Aug 5, 2015 Posts 5,782 Reaction score 21,008 Mar 25, 2024 #12 Moja ya kipimo cha upeo wa mtu ni uwasilishaji wake wa hoja, kuanzia chaguzi ya maneno mpaka tone ya sauti. Ukiwasikiliza wote wawili KP na Maulid Kitenge wakiwa wanajenga hoja hapo ndio utajua nani yupo vizuri zaidi ya mwenzie.
Moja ya kipimo cha upeo wa mtu ni uwasilishaji wake wa hoja, kuanzia chaguzi ya maneno mpaka tone ya sauti. Ukiwasikiliza wote wawili KP na Maulid Kitenge wakiwa wanajenga hoja hapo ndio utajua nani yupo vizuri zaidi ya mwenzie.
Lucha JF-Expert Member Joined Aug 24, 2018 Posts 20,324 Reaction score 62,206 Mar 25, 2024 #13 Katika watangazaji ambao sijawahi kuwaelewa kwa upande wangu wapo wengi na kitenge yumo.
Bamileck Member Joined Jul 26, 2021 Posts 26 Reaction score 39 Mar 25, 2024 Thread starter #14 Ni mabwana harusi wa muda wote tanzania wanaitendea haki ibada ya ndoA
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 53,159 Reaction score 72,199 Mar 25, 2024 #15 Burrell said: KP yupo kwenye ukosoaji tena bila ya kuwa na jazba! Smart sana huyu bro. Click to expand... Nakubali, mzee wa minyama ya DPW simuelewi siku hizi kabisa
Burrell said: KP yupo kwenye ukosoaji tena bila ya kuwa na jazba! Smart sana huyu bro. Click to expand... Nakubali, mzee wa minyama ya DPW simuelewi siku hizi kabisa
B Burrell JF-Expert Member Joined Feb 4, 2024 Posts 542 Reaction score 1,026 Mar 25, 2024 #16 Joseverest said: Nakubali, mzee wa minyama ya DPW simuelewi siku hizi kabisa Click to expand... huenda ana mahaba makubwa ya "nyundo na jembe" au ana mgawo wa siri anaopewa, au ana uhusiano na watu wa kitengo.
Joseverest said: Nakubali, mzee wa minyama ya DPW simuelewi siku hizi kabisa Click to expand... huenda ana mahaba makubwa ya "nyundo na jembe" au ana mgawo wa siri anaopewa, au ana uhusiano na watu wa kitengo.
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 53,159 Reaction score 72,199 Mar 26, 2024 #17 Burrell said: huenda ana mahaba makubwa ya "nyundo na jembe" au ana mgawo wa siri anaopewa, au ana uhusiano na watu wa kitengo. Click to expand... UKO SAHIHI MKUU
Burrell said: huenda ana mahaba makubwa ya "nyundo na jembe" au ana mgawo wa siri anaopewa, au ana uhusiano na watu wa kitengo. Click to expand... UKO SAHIHI MKUU
mtzedi JF-Expert Member Joined Dec 13, 2011 Posts 6,140 Reaction score 6,356 Mar 26, 2024 #18 Kwa uoaji wako sawa. Lakini mengine Masoud ni level zingine
Braying JF-Expert Member Joined Jan 31, 2023 Posts 327 Reaction score 628 Mar 26, 2024 #19 Masoud ni ngoma nyingine kabisa, labda huko kwenye ndoa ndio wanaendana.