Mafyangula
JF-Expert Member
- Jan 16, 2025
- 505
- 887
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kawe kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Dorcus Francis, amesema wananchi wengi wanataka uchaguzi kufanyika badala ya kauli ya “No Reform No Election.”
Akizungumza katika mahojiano na PM TV Tanzania, Dorcus alisema kuwa alipita kaya kwa kaya kuzungumza na wananchi kabla ya kuchukua fomu ya kugombea ubunge, na wengi waliomueleza wanatamani kuona mabadiliko kupitia uchaguzi huru na wa haki.
Akizungumza katika mahojiano na PM TV Tanzania, Dorcus alisema kuwa alipita kaya kwa kaya kuzungumza na wananchi kabla ya kuchukua fomu ya kugombea ubunge, na wengi waliomueleza wanatamani kuona mabadiliko kupitia uchaguzi huru na wa haki.