DON'T copy if you can't paste

DON'T copy if you can't paste

lito jiniaz

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2013
Posts
205
Reaction score
77
bla shaka muwazma wa afya
ISOME HII KISHA UITAFAKARI
Mtu mmoja maarufu alisema"maisha yangu mazur yalkuwa juu ya mikono salama ya mwanamke,ambaye hakuwa mke wangu" watu wakashangaa na kubaki kimya....
Yule m2 akaongeza"huyu mwanamke alikuwa mamangu"...
Makofi na vicheko vya nguvu vikasikika...
Mwanaume mmoja akavutiwa na hayo maneno akaamua aende kujaribisha nyumban kwake...ucku baada ya msosi akasema kwa sauti ya nguvu kwa mkewe ambae alikuwa jikon "maisha yangu mazur yalkuwa juu ya mikono salama ya mwanamke,ambaye hakuwa mke wangu"
Akiwa amesimama kwa mda huku akifikiria kuusema ule mstar wa pili wa yule jamaa.....fahamu zilimrudia akiwa hospitalin akiuguza majeraha ya maji ya moto aliyomwagiwa na mkewe..
ONYO:ukisikia au kuona jambo,jaribu kumfiria kwanza yule unaetaka kumpelekea...
unapoishi na m2 hata km mnapendana sana jarib kufikiria kle cha kuongea au kumfanyia..wengne hasira zko machon,akikuangalia 2 ashakuadhib...
CHEZEAMAJI YA MOTO WEEEWE
 
Domhome:lito jiniaz This is Marvelous!!!!
mmmmh! jamaa kakop....kwny kupest kakosea...kakutana na maji ya moto
 
Mkuu wewe kweli jiniaz. Ila ngoja nitaicopy mahali..na nitahakikisha hakuna maji ya moto wala tindikali, na kichwani helmet muhimu.
 
sikushauri uicopy kwa mpenz/mchumba ako...anaweza asimwagie maji au hyo tindikal ila akatambaa kvyake
 
sikushauri uyacopy hayo maneno kwa mpenz/mchumba ako...anaweza asimwagie maji au hyo tindikal ila akatambaa kvyake
 
M.E.M.A;Akianza kutambaa si ndio napste mstari wa mwisho!![/QUOTE]
ha ha ha..ataanza kukupgia makof na kicheko juu
 
Iko poa, ina mafundisho ndani yake, hongera kwa ujumbe mzuri.
 
Aisee mke ana wivu sana huyo,utadhani mume wake hamegi pembeni!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
kwel ana wivu....ila hana huruma
jamaa nae alkosea kufanyia majaribio MANENO ya wengne kwa mkewe
 
Duh! Uelewa wangu mdogo sana!
Embu nifafanulie kidogo! UONGEE MANENO HAYO KWA MWENZIO ILI IWEJE??????

bla shaka muwazma wa afya
ISOME HII KISHA UITAFAKARI
Mtu mmoja maarufu alisema"maisha yangu mazur yalkuwa juu ya mikono salama ya mwanamke,ambaye hakuwa mke wangu" watu wakashangaa na kubaki kimya....
Yule m2 akaongeza"huyu mwanamke alikuwa mamangu"...
Makofi na vicheko vya nguvu vikasikika...
Mwanaume mmoja akavutiwa na hayo maneno akaamua aende kujaribisha nyumban kwake...ucku baada ya msosi akasema kwa sauti ya nguvu kwa mkewe ambae alikuwa jikon "maisha yangu mazur yalkuwa juu ya mikono salama ya mwanamke,ambaye hakuwa mke wangu"
Akiwa amesimama kwa mda huku akifikiria kuusema ule mstar wa pili wa yule jamaa.....fahamu zilimrudia akiwa hospitalin akiuguza majeraha ya maji ya moto aliyomwagiwa na mkewe..
ONYO:ukisikia au kuona jambo,jaribu kumfiria kwanza yule unaetaka kumpelekea...
unapoishi na m2 hata km mnapendana sana jarib kufikiria kle cha kuongea au kumfanyia..wengne hasira zko machon,akikuangalia 2 ashakuadhib...
CHEZEAMAJI YA MOTO WEEEWE
 
bla shaka muwazma wa afya ISOME HII KISHA UITAFAKARI Mtu mmoja maarufu alisema"maisha yangu mazur yalkuwa juu ya mikono salama ya mwanamke,ambaye hakuwa mke wangu" watu wakashangaa na kubaki kimya.... Yule m2 akaongeza"huyu mwanamke alikuwa mamangu"... Makofi na vicheko vya nguvu vikasikika... Mwanaume mmoja akavutiwa na hayo maneno akaamua aende kujaribisha nyumban kwake...ucku baada ya msosi akasema kwa sauti ya nguvu kwa mkewe ambae alikuwa jikon "maisha yangu mazur yalkuwa juu ya mikono salama ya mwanamke,ambaye hakuwa mke wangu" Akiwa amesimama kwa mda huku akifikiria kuusema ule mstar wa pili wa yule jamaa.....fahamu zilimrudia akiwa hospitalin akiuguza majeraha ya maji ya moto aliyomwagiwa na mkewe.. ONYO:ukisikia au kuona jambo,jaribu kumfiria kwanza yule unaetaka kumpelekea... unapoishi na m2 hata km mnapendana sana jarib kufikiria kle cha kuongea au kumfanyia..wengne hasira zko machon,akikuangalia 2 ashakuadhib... CHEZEAMAJI YA MOTO WEEEWE
Ahsante kwa ujumbe mzuri.
 
kila mwanamke atatamani mwanaume wake akisema maneno haya..
mwanamke anayezungumziwa awe yeye.

kwa hyo.. unaweza ku copy na ukapaste ukiwa ume edit.. na mkeo aka smile na kukupa busu juu .. hahahaa
 
Back
Top Bottom