Donald Trump ashinda tena kwa mara ya 3

Donald Trump ashinda tena kwa mara ya 3

real G

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2013
Posts
5,227
Reaction score
5,303
Mgombea wa urais wa chama cha Republican Donald Trump ameshinda katika jimbo la Nevada nchini Marekani, na hivyo basi kuimarisha uongozi wake katika mchujo wa kuwania tiketi ya chama hicho.

Tajiri huyo sasa ameshinda mara tatu, kufuatia ushindi wake katika jimbo la New Hampshire na Carolina kusini.


Chanzo: ITV
 
Back
Top Bottom