mi mwenyewe huwa sijui mwanamke anatongozwaje.......lakini hadi huwa nawakimbia......wakat mwingine ata macho tu yanatosha kumtongoza mwanamke......ivi unafikiri wanawake wanahitaji kuwekwa kati na maneno elfu ndo akukubali??lahasha...wee kama kun abinti umeona anakufaa jaribu kuwa nae karibu....just TAKE CARE OF HER...UTAMPATA....SHOW HER THAT UR FAITHFUL...MJULIE HALI,MSHIRIKISHE MIPANGO YAKO ATA KAMA HAKWAMBII...........UNAOHISI WANAJUA KUTONGOZA WOTE NI MAPLAY BOY NA HUISHIA KUWAUMIZA HAO WADADA,,......CHA MSINGI UMESHAJITAMBUA.