wadau hii misalaba inayojulikana kama ankh kama waliovaa ao wasanii sio misalaba ya kikristo...So basically nlikua nataka kujua ina maana gani coz nmeiona sana kwny ancient picha za Egypt ...
Sent from my HTC_One_max using JamiiForums mobile app
Idd hot!wakili feki dizaini ya Msando
Suala la producer sio issue,maana wapo akina Tuddy pale WCB,ni upepo tu unapita,Ajipange tu Mambo yatakuwa powa,..!!Mkuu, Domondi kaisha. Wewe endelea kumfagilia, mimi naendelea kusema kweli.
MR.NICE nae alikuwa na laana ya naniHuyu analaana ya baba yake tuliwahi kumshauri huku jf kwamba amzarauye babaye maisha yake ni kama tone la maji washabiki wake hawakutuelewa sasa wanaanza kumkimbia tunamshauri tena akampigie babaye magoti aepuke hiyo laana ili asipotee Kabisa.
Sent from my HTC One using JamiiForums mobile app
Wewe unamjua baba yake nice? Nyie watoto mliolelewa na mama tu mnamatatizo makubwa sanaMR.NICE nae alikuwa na laana ya nani
Mtu anayesema diamond hajui mi naona ni chuki binafsi tu ndo zinazomsumbua.... Hebu jaribu kusikiliza mashairi yake km ya wwache waoane aliyoshirikishwa na chege au ile alioishirikishwa na mzimbabwe. Mnataka aimbaje labda ndo mtamkubali au mpk aimbe note km kwaya ndo mumuone msanii. Jamaa ana mapungufu katika upande mwengine lakini msijaribu kumhukumu mpk kwenye mafanikio yake. Me ndo namuona msanii anayepasua anga kuliko wote bongo
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Wabongo banaaaa..we kaaa hivo hivo tu..mnasubirigi vya watu mvitoe kasoro..mqemzko yke yanakwendaa we umekaaaa domo domo...!alafu ukitaka kufanikiwa usiwabeze wanaokusemaa..wakat we unasema domo"mwenzio ili useme vizur ndio anazid kulibetuaaa huku dolaaa zikiingiaa tu...kazi kwako ww unakwesha kupiga swagaDogo Domo una stress trust me, na nina wasiwasi unapuliza sasa hivi mboga.
Ngoma tatu lakini hakuna jipya lenye kuleta muonekano mpya unafeli brother.
Mapenz yana kusumbua, tafadhali usichanganye na kazi dogo. Miko kumi ya Rap GK ft AY
Time hii ongeza meneger mmoja hata babu yako wa Kigoma ili uchanganye ladha fulani. Dunia inataka vitu fulani vitu vya asili mix .
Nilimwambia mke wangu siku moja ule wimbo wako je utanipenda? ndio kaburi lako la mziki usipo kuwa makini.
Nilimwambia kwasababu, kipindi wimbo wako wa kwanza pia nilimwambia utafika mbali na kweli umefika.
Hapo ulipo unaweza kufanya makubwa bila kushirikisha msanii wa Ulaya, tuliza akili lasivyo utapotea bro.
Kuwa makini sana, am your brother na Nakupenda sana, japo nakula sana misumari moto.
Ila nyimbo zke unazo?...Wabongo banaaaa..we kaaa hivo hivo tu..mnasubirigi vya watu mvitoe kasoro..mqemzko yke yanakwendaa we umekaaaa domo domo...!alafu ukitaka kufanikiwa usiwabeze wanaokusemaa..wakat we unasema domo"mwenzio ili useme vizur ndio anazid kulibetuaaa huku dolaaa zikiingiaa tu...kazi kwako ww unakwesha kupiga swaga
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Kaka unamfahamu Tory Lanez auMkuu, Domondi amefika mwisho. Hakuna mwanamuziki aliyeurudia kuuimba wimbo wa mwanamuziki mwingine aliyebaki salama. Domondi amepoteza ubunifu, mvuto na ubora. Ameshagota!
Ni ujinga kuandika generalization kama hii......
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
jamani mtaani kwetu kule kunduchi kuna waha weengi yaani inafaa na ww uwe mlozi ili uweze kufanya lolote
kuna waha
wasambaa
wamakonde
View attachment 539531