Mods naomba mtoe hizi picha tafadhali, huu ni uzalilishaji mkubwa sana wa watoto nafikiri utani pia uwe na mipaka! Sijawahi kukereka humu kama nilivyokereka hapa!
Na uliye-post hizi picha jitafakari mara mbili kama angekuwa ni mtoto wako au wa ndugu yako kama bado ungepata nguvu za kuja kuwapost hao watoto humu!
Mods naomba mtoe hizi picha tafadhali, huu ni uzalilishaji mkubwa sana wa watoto nafikiri utani pia uwe na mipaka! Sijawahi kukereka humu kama nilivyokereka hapa!
Na uliye-post hizi picha jitafakari mara mbili kama angekuwa ni mtoto wako au wa ndugu yako kama bado ungepata nguvu za kuja kuwapost hao watoto humu!
Haya bwana kama huoni tatizo hapo kwa upande wangu nimeona kama mtoto wangu vile anazalilishwa hivyo imeniuma lakini kama wewe unaona sawa mtoto kupigwa picha anakunywa pombe, well sina la kusema, yameisha, tuendelee kujenga Tanzania yetu!Mkuu mbona hakuna tatizo la kukupanikisha hivyo hapa?
Dogo wa kwanza, innocently exploring the World!!!!!!!!!