Dogo balaa huyu

Mdudu Wa Masala

Senior Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
134
Reaction score
79
Mwita alikua amechelewa shule, alipofika mwalimu akataka kujua kwanini amechelewa, maongezi yao:

Mwalimu: mbona leo umechelewa shule?
Mwita: kuna mzee mmoja kapoteza pesa.
Mwalimu: kwa hivyo ulikua unamsaidia kutafuta au?
Mwita: hapana nilikua nimezikanyagia nasuburi aondoke!!
 
Hahahahahaha! Kama Mi ticha namuask "izo hela ziko wapi?"
 
Hahahahahaha

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Haaaa!Stori haijakamilika mkuu,je, huyo dogo alifanikisha hilo zoezi? Kama alifaulu hilo zoezi nikiwa km ticha simuadhibu namwambia anikatie kidogo mkwanja.
 
Haaaa!Stori haijakamilika mkuu,je, huyo dogo alifanikisha hilo zoezi? Kama alifaulu hilo zoezi nikiwa km ticha simuadhibu namwambia anikatie kidogo mkwanja.

mkuu kama ningeitamatisha ingeisha ladha lakin kwa sasa naona kila mmoja anaeza waza hatma ya dogo.ha ha.
 
Hiyo kali

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
umetishaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.....................................dogo ni nomaaaaaaaaaaaaaaa.........
 
uchekapo unaongeza muda wa kuishi kwa asilimia fulani, endelea kucheka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…