Dah huu ubishi wa kipuuzi.. Binafsi nakubali kuwa KENYA wametuacha mbali sana... Najitahidi kusoma ili kuleta new idea on how to buld our nation.. We're far back from KENYA... NAIROBI NI PAZURI KULIKO DAR.. MOMBASA NI NZURI KULIKO MWANZA... HATA HAPO THIKA PANAENDANA NA ARUSHA...