A
Anonymous
Guest
Hii ni kero kubwa sana , mwezi wa pili sasa Dodoma tunaishi bila ya maji.
Makao makuu ya Chama na Serikali inakuwaje maji yanasumbua kiasi hiki.
Yanatoka kuanzia saa 7 asubuhi saa tano tu yamekatika. DUWASA hili mliangalie.
Makao makuu ya Chama na Serikali inakuwaje maji yanasumbua kiasi hiki.
Yanatoka kuanzia saa 7 asubuhi saa tano tu yamekatika. DUWASA hili mliangalie.