Dodoma: DUWASA imeanza uchimbaji wa kisima eneo la Kisasa-Mwangaza

Dodoma: DUWASA imeanza uchimbaji wa kisima eneo la Kisasa-Mwangaza

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
4,783
Reaction score
14,975
DUWASA YATEKELEZA MAAGIZO YA WAZIRI AWESO

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) imeanza uchimbaji wa kisima eneo la Kisasa-Mwangaza Jiji Dodoma baada ya maagizo ya Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb.) kwa DUWASA kutafuta suluhisho la changamoto ya maji katika maeneo ya Kisasa Bwawani, Kisasa East, Nyumba 300 na Mwangaza.

Zoezi la uchimbaji wa kisima hicho umeanza Oktoba 11 na utakamilika Oktoba 12, 2024 huku hatua inayofuata ni upimaji wa wingi wa maji na ubora wa maji kabla ya kuanza uendelezaji wa kisima hicho.

Uchimbaji kisima eneo la Kisasa - Mwangaza ni hatua ya utatuzi wa changamoto ya ukosefu wahuduma ya maji kwa wananchi wa maeneo ya Kisasa Bwawani, Kisasa East, Nyumba 300 na Mwangaza.

Baadhi ya Wananchi na Viongozi wa Serikali ya Mtaa Nyumba 300 na Mwangaza wameishukuru serikali kwa kusikia kilio chao katika kuwapatia huduma ya maji.

KERO - √ - Kero ya maji safi jijini Dodoma, Waziri Aweso ingilia kati

Waziri Aweso: DUWASA hakikisha mnatafuta suluhisho la muda mfupi maeneo yenye changamoto ya upatikanaji wa maji, hasa ya pembezoni mwa Mji wa Dodoma
IMG-20241012-WA0007.jpg
IMG-20241012-WA0008.jpg
IMG-20241012-WA0009.jpg
IMG-20241012-WA0010.jpg
IMG-20241012-WA0011.jpg

 
DUWASA YATEKELEZA MAAGIZO YA WAZIRI AWESO

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) imeanza uchimbaji wa kisima eneo la Kisasa-Mwangaza Jiji Dodoma baada ya maagizo ya Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb.) kwa DUWASA kutafuta suluhisho la changamoto ya maji katika maeneo ya Kisasa Bwawani, Kisasa East, Nyumba 300 na Mwangaza.

Zoezi la uchimbaji wa kisima hicho umeanza Oktoba 11 na utakamilika Oktoba 12, 2024 huku hatua inayofuata ni upimaji wa wingi wa maji na ubora wa maji kabla ya kuanza uendelezaji wa kisima hicho.

Uchimbaji kisima eneo la Kisasa - Mwangaza ni hatua ya utatuzi wa changamoto ya ukosefu wahuduma ya maji kwa wananchi wa maeneo ya Kisasa Bwawani, Kisasa East, Nyumba 300 na Mwangaza.

Baadhi ya Wananchi na Viongozi wa Serikali ya Mtaa Nyumba 300 na Mwangaza wameishukuru serikali kwa kusikia kilio chao katika kuwapatia huduma ya maji.

KERO - √ - Kero ya maji safi jijini Dodoma, Waziri Aweso ingilia kati

Waziri Aweso: DUWASA hakikisha mnatafuta suluhisho la muda mfupi maeneo yenye changamoto ya upatikanaji wa maji, hasa ya pembezoni mwa Mji wa Dodoma
View attachment 3122492View attachment 3122493View attachment 3122494View attachment 3122495View attachment 3122496
View attachment 3122498
Mwangaza ya wapi Mkuu?St Gaspar hotel,kabisa la Roman Catholic au!
 
Acheni Siasa Kuna Kiongozi mkubwa yupo huko ndo mlikuwa mna mlenga, ila maeneo yenye changamoto kubwa ni chidachi, miganga, kinyambwa
 
Hivi ule mradi wa kuvuta maji kutoka ziwa Victoria, haujakamilika hadi leo..🤔
 
Back
Top Bottom