Nucky Thompson JF-Expert Member Sep 20, 2016 1,817 4,058 Nov 18, 2016 #1 Dokta huyo feki amenaswa hospitali ya mkoa Dodoma, alikuwa na vitambulisho feki vingi. Wagonjwa walimlalamikia kuwatoza fedha pasipo utaratibu. Yeye anadai ni mwanafunzi wa Udom medicine. Pia alikuwa anawatapeli wanafunzi akidai anatoa mimba kwa laki nne.
Dokta huyo feki amenaswa hospitali ya mkoa Dodoma, alikuwa na vitambulisho feki vingi. Wagonjwa walimlalamikia kuwatoza fedha pasipo utaratibu. Yeye anadai ni mwanafunzi wa Udom medicine. Pia alikuwa anawatapeli wanafunzi akidai anatoa mimba kwa laki nne.
chief zuma JF-Expert Member May 29, 2016 229 143 Nov 18, 2016 #2 Peleka jela huyo.... Watu tumeteseka kusoma hii fani
Ghazwat JF-Expert Member Oct 4, 2015 23,718 66,262 Nov 18, 2016 #3 Wakati wenzake madaktari fake wanakamatwa kipindi kilichopita yeye alidhani amefaulu.. sasa kazi kwake
Wakati wenzake madaktari fake wanakamatwa kipindi kilichopita yeye alidhani amefaulu.. sasa kazi kwake
T Team mafisi Senior Member Nov 14, 2016 138 144 Nov 19, 2016 #4 Nje ya box; Inaonekana kutoa mimba wateja wa kutosha wapo, laki 4???????
shibekijijini JF-Expert Member May 26, 2015 358 478 Nov 19, 2016 #5 Wakati wenzake wanakamatwa Yeye alikuwa wapi ayse.