Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Dokta huyo feki amenaswa hospitali ya mkoa Dodoma, alikuwa na vitambulisho feki vingi.
Wagonjwa walimlalamikia kuwatoza fedha pasipo utaratibu. Yeye anadai ni mwanafunzi wa Udom medicine.
Pia alikuwa anawatapeli wanafunzi akidai anatoa mimba kwa laki nne.