magu cdm
Member
- Mar 18, 2015
- 60
- 15
Licha ya mambo yote ya uchukuaji fomu na vikao vya bunge kuwa hapa ila wananchi wengi hawana habari na mambo ya CCM.
Bila chembe ya uoga juzi walijitokeza kwa maelfu kwenye mkutano wa CHADEMA ulioongozwa na kamanda Lissu. Lissu aliwataka wananchi wa Dodoma kujitoleza kwa wingi kwenda kujiandikisha jambo ambalo leo limefanikiwa sana vituo vyote vya kuandikishia vilikuwa na watu wengi sana utadhani mkutano wa hadhara.
Wananchi waliwaacha na kuwapuza CCM na maigizo yao ya uchukuaji fomu, salaam ya wanadodoma ilibadilika na kuwa unacho ninacho hapo sawa huna nenda kafate vijana wamejitokeza kwa wingi sana siku ya leo ambapo ndiyo uandikishaji umeanza.
Hongera kamanda Kigaila kwa kazi unaifanya Dodoma.Mungu akutangulie katika safari ya kufuta CCM Dodoma.
Bila chembe ya uoga juzi walijitokeza kwa maelfu kwenye mkutano wa CHADEMA ulioongozwa na kamanda Lissu. Lissu aliwataka wananchi wa Dodoma kujitoleza kwa wingi kwenda kujiandikisha jambo ambalo leo limefanikiwa sana vituo vyote vya kuandikishia vilikuwa na watu wengi sana utadhani mkutano wa hadhara.
Wananchi waliwaacha na kuwapuza CCM na maigizo yao ya uchukuaji fomu, salaam ya wanadodoma ilibadilika na kuwa unacho ninacho hapo sawa huna nenda kafate vijana wamejitokeza kwa wingi sana siku ya leo ambapo ndiyo uandikishaji umeanza.
Hongera kamanda Kigaila kwa kazi unaifanya Dodoma.Mungu akutangulie katika safari ya kufuta CCM Dodoma.