Doctors Vs Engineers

Owk kwahiyo unataka kuniambia kabla hivyo vitu havijagunduliwa wagonjwa walikua hawaponi au? Alafu madaktari wana apply Biology, Physics na Chemistry kwenye kutoa huduma kumbuka hilo??

Alafu hujajibu swali langu, Utawezaje kufanya hizo invention kama haupo njema intermas of Health? Ni jibu
 

Na utamtibuje mtu bila kujua anaumwa nini?? siku hizi complications na magonjwa mengi. Lazima utahitaji vifaa vilivyokuwa invented na engineer. Ndio maana nikasema engineers na doctors tunategemeana, ni sawa na Kuku na yai.
 
Anyway Ngoja nikuache Ila at least umetambua Umuhimu wa UBONGO kwenye masuala yako
 
Zote ni ngumu, na zenye kuhitaji umakini wa wahusika. Nitofautiane kidogo na wanaosema vifaa vya matibabu vimebuniwa na wahandisi, nina imani bila ya msaada wa matabibu, kukaa na wahandisi kuwaambia wanataka kifaa fulani kiwasaidie kufanya shughuli kadhaa za kitabibu na kutoa mwongozo wa vipimo, mwonekano vyake n.k. wahandisi wasingeweza kuwa na wazo na msaada wowote katika matibabu.
 
Swali very simple, huyo engineer anaweza kufanya yote hayo kama hayupo njema kiafya mfano ana matatizo ya ubongo?

Alafu kipi cha muhimu kwa uhai, Afya au hizo intervention za ki engineer?
madawa wa kienyeji yapo kibao tuu yatamponyesha tu...tiba asilia
 
Alafu ma engineer wa kibongo njaa nyingi sana, ndo maana wengi wao wanaishia kufundisha twisheni au shule......na pia hata serikali inawaamini sana ma-engineer wa nje kama wachina alafu nyie wazawa na degree zenu mnakua vibarua kwa hawa foreigners
ww bado sana ujaelewa system ya nchi hi ili engeneeer wa bongo apewe kazi tenda na serikali let say tena kubwa kubwa izi big project engineer wa kibongo awezi pesa sababu wengi wao awana capital mana ili serikali ikupe tenda wanakupa tenda wakiangalia una capital kiasi gani sasa kama una capital ndogo uwezi pewa tenda wanapewa watu wa njee coz serikali hailipi cash uwa wanakukopa ww engineeer uwafanyie kazi kwa pesa yako zen watakulipa kidogo kidogo ndo iko ivyo na c kwamba ma engeneers wa kibongo awana viwango c kweli....
 
Engineer
Engineer
Engineer
 
Anyway Ngoja nikuache Ila at least umetambua Umuhimu wa UBONGO kwenye masuala yako
Nmekuelewa mkuu lkn kpindi niko form two Kuna vimaneno vilitumika sana, navyo ni"other physical quantities remain costant"
.........proud to be engineer..........
 
Madoctor wenyewe wanategemea vifaa kutoka kwa maengneer
 
Ukitaka kujua engineer ni shidaa ni pale uendapo hospital.vipimo vina gharamakubwa kuliko dawa. Vifaa tiba vinaghalama kubwa sana
 
Mwandisi hafanyi kazi ya ubunifu kwa kuelekezwa na mtu anayehitaji. Yeye kazi yakeni kutatua matatizo ya watu. Mfano mama Lishe anafungua mgahawa sehemu kutokana na kuona mahitaji ya watu waliopo pale lazima wale. Hvyo hvyo engineer ndivyo afanyavyo .
 
Mhandisi atajua aje ukubwa wa mkasi unaotosha kuingia ndani ya tumbo wakati wa upasuaji? Mipira ya kumwuongezea binadamu damu au maji, unafikiri mhandisi aliibuni ukubwa wake, na kiasi kinachotakiwa kuingia mwilini kwa dakika bila ya ushauri wa tabibu anayejua mishipa husika ya mwili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…