Ha ha alikuwa na meneja kumbe?.watu kwa fulsa wapo vema sana..Muulize yule dada meneja wake!
Waulize Lumumba walimtumia kwenye kampeniNauliza Mzee wa mia 900 itapendeza yuko wapi au kashapewa Pesa zako karudi urus maana kuna mjengo unauzwa ..... Kama kuna mtu anajua alipo amshtue maana huku kwa 900 itapeza........ni hayo tu tujuzane....
Alipoanza kujiingiza kwenye kampeni za chama cha mboga mboga hapo ndipo alipopotezwa. We si unaona hata wasanii wengi waliojiingiza huko walikoishia?Nauliza Mzee wa mia 900 itapendeza yuko wapi au kashapewa Pesa zako karudi urus maana kuna mjengo unauzwa ..... Kama kuna mtu anajua alipo amshtue maana huku kwa 900 itapeza........ni hayo tu tujuzane....
Alipoanza kujiingiza kwenye kampeni za chama cha mboga mboga hapo ndipo alipopotezwa. We si unaona hata wasanii wengi waliojiingiza huko walikoishia?
huyo meneja wake alikua anamanage nin?Muulize yule dada meneja wake!
Nilimuona leo mitaa ya Bungoni anatembea kwa miguu anaelekea Kariakoo. Ila siku hizo ameng'aa sana kweli pesa sabuni ya roho.Nauliza Mzee wa mia 900 itapendeza yuko wapi au kashapewa Pesa zako karudi urus maana kuna mjengo unauzwa ..... Kama kuna mtu anajua alipo amshtue maana huku kwa 900 itapeza........ni hayo tu tujuzane....
Huoni na kusikia yanayomkuta? Huko ndio kupotea!Kweli we ni zwazwa kampeni alifanya alipwe hela hata ya chadema angefanya.....kwahiyo unataka kunambia hata Diamond kapotea coz na yeye alifanya kampeni