Do you think you have a bad job?!think twice!

Beso

JF-Expert Member
May 6, 2011
216
59
worst_jobs_2.jpg worst_jobs_8.jpg worst_jobs_5.jpg
 
me sijaelewa jamani nisaidien wapendwa

jamaa ametumbukia kwenye nanino ya tembo,labda mambo ya artificial insemination!mwingine kunako chamber ya maji taka nadhani anazibua!hao kwa kikwapa labda madaktari hapa jamvini mtusaidie!
 
duh!.....kunusa kwapa tena..kweli ni vema kumshukuru Mungu kwa kila jambo unaweza ukaona kama ww unafanya kazi mbovu duniani kumbe wapo wenzio wanusa vikwapa
 
Back
Top Bottom