jamaa ametumbukia kwenye nanino ya tembo,labda mambo ya artificial insemination!mwingine kunako chamber ya maji taka nadhani anazibua!hao kwa kikwapa labda madaktari hapa jamvini mtusaidie!
duh!.....kunusa kwapa tena..kweli ni vema kumshukuru Mungu kwa kila jambo unaweza ukaona kama ww unafanya kazi mbovu duniani kumbe wapo wenzio wanusa vikwapa
duh!.....kunusa kwapa tena..kweli ni vema kumshukuru Mungu kwa kila jambo unaweza ukaona kama ww unafanya kazi mbovu duniani kumbe wapo wenzio wanusa vikwapa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.