Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,252
Inaitwa MISTINI jeshi hutumia sana hii kitunini hicho mzee mwenzangu
HUKITUMIA KWA KAZI GANI MZEE MWENZANGU EBU NIFUNGUE MASIKIO.....Inaitwa MISTINI jeshi hutumia sana hii kitu
HUKITUMIA KWA KAZI GANI MZEE MWENZANGU EBU NIFUNGUE MASIKIO.....
DUH...KUMBE ambao hatukubahatika kupitia jeshini tumekosa mengi sana aisee.Ndiyo sahani na bakuli kwa mpigo, unawekewa msosi unaotoka jikoni mpaka kikontena kina pata moto kama pasi vile.
Ikiwa zamu ya wali hapo kuna watu walikuwa wanazamisha finger humo bila kupozaNdiyo sahani na bakuli kwa mpigo, unawekewa msosi unaotoka jikoni mpaka kikontena kina pata moto kama pasi vile.
Basi ujue dingi yako alikuwa ni fisadi wa Vyombo Jeshini....Nakumbuka sana nyumbani tulikuwa navyo vingi sana
Inaitwa MISTINI jeshi hutumia sana hii kitu
Ni sahani hiyo na waweza kutia maji moto ikawa pasi Jeshini kuna mengiHUKITUMIA KWA KAZI GANI MZEE MWENZANGU EBU NIFUNGUE MASIKIO.....
"Niitie yule aliyevaa Green vest ya kijani....."Uko sahihi...'mistini'..lugha ya kijeshi ... lakini usahihi nadhani ni 'mess tin'...halafu kijeshi kuna kitu kinaitwa 'lalamu' (utasikia lalamu imepigwa) lakini usahihi nadhani ni 'alarm'...tehtehteh mambo ya jeshi bwana yanafurahisha sana au mkuu wa kikosi anaitwa 'Siyoo' lakini usahihi ni C.O yaani 'Commanding Officer'.... tehtehteh
Nakumbuka sana nyumbani tulikuwa navyo vingi sana