Lugalo jeshini raia wanaruhusiwa kushiriki au ndio wale makomandoo tu wa KJ 302 ndio wanaruhusiwa
Je kuna timu ya rugby tz ??? Na kama hatuna kunampango wowote wa kuanzisha? View attachment 16136
[/I][/SIZE][/I]
Njoo Arusha zipo nyingi tuuu kuanzia kwenye shule za wageni hadi academy zetu uchwara... Arusha tuna uwanja unaitwa Friedkin Recreation Centre (FRC) ni mzuri sana una milikiwa na wazungu wa RSA wa family ya Friedkin upo karibu na airport ya arusha barabara dodoma. Pia kumbuka Rugby Union Tanzania ndicho chama pekee cha michezo chenye makao yake nje ya jiji la Dar es Salaam!
So karibu sana. Picha ya uwanja wenyewe hii hapa.
[/I][/SIZE][/I]
Njoo Arusha zipo nyingi tuuu kuanzia kwenye shule za wageni hadi academy zetu uchwara... Arusha tuna uwanja unaitwa Friedkin Recreation Centre (FRC) ni mzuri sana una milikiwa na wazungu wa RSA wa family ya Friedkin upo karibu na airport ya arusha barabara dodoma. Pia kumbuka Rugby Union Tanzania ndicho chama pekee cha michezo chenye makao yake nje ya jiji la Dar es Salaam!
So karibu sana. Picha ya uwanja wenyewe hii hapa.
wao asante sana kwa information yako.... ninarafiki yangu anakuja huko Tanzania kukaka kwa muda na alitaka kujua kama kuna team za rugby yeye anatoka New Zealand.. nitamweleza hayo asante sana:redface: