Dkt. Ulimboka amuumbua mmoja wa wahusika wa utekaji wake!

Watu wengine hamnazo kweli kazi mliyyotumwa na Silaa naona mnaifanya kwa juhudi kweli kweli

Mmemteka wenyewe mmempiga wenyewe sasa mnataka kutuaminisha kuna watu wengine ndio wamefanya hivyo

Ama kweli wafu watawazika wafu wenzao
Leo upo madarakani unakula kuku kwa mrija lakini damu ya Ulimboka itakuwa chachu ya mapinduzi kwenye sekta ya afya forever hakuna atakayekubali,uzuri kasema kwa sauti yake na watu wamesikia,umejionea mwenyewe dhaifu apopotolewa mimaweTegeta lini aliyashuhudia hayo kipenzi cha wanaDar
 
kama ni kweli hii noma
ila nani kati ya hao madaktari wanaolinda apo mwajuana nani katumwa?
mana kuna mashushushu ata Drs. wenyewe...ni Mungu tu labda ndo alinde ili aje ashuhudie kilichojili
na kwanini wanaruhusiwa kumwona mgonjwa aliye ICU?
 
Is it true for those things of Ulimboka,if it is.!! Then people are not good at all.!!
 
Aisee hata mimi nilikuwa ubungo nikasikia jamaa mmoja anaeleza kuwa moja ya waliompiga alikwenda kumwona na Dr Ulimboka akamtambua please wenye taarifa yote tupeni
 
Kamanda aliyehusika kumtesa Dr. Ulimboka na mmoja kati ya watu wanaounda tume ya kuchunguza unyama aliofanyiwa Dr. Ulimboka ameaibika mara alipoingia chumba alicholazwa Dr. Ulimboka aliweza kumtambua na kumwambia "Nirudishie simu na wallet yangu".

Kamanda alitoka wodini kainamisha kichwa.

Source (Mimi mwenyewe-nilikuwepo)

Mmmh! Tutasikia mengi mwaka huu.
 
niliwahi kumuona kwenye tv bwana msangi kipindi kile bado akiwa o/c-cid pale o'bay, yuko makini sana katika kazi zake za upelelezi. Kama kweli kahusika kwa hili, atakuwa alipewa amri toka ngazi za juu, na kwa utaratibu wa kazi zao hawezi kumtaja aliyetoa order hiyo hadharani, labda IGP amfungulie kesi kwenye mahakama ya kijeshi.

Pole sana kamanda msangi, mungu atakuokoa kama hukudhamiria bali ulishurutishwa, maybe ndio maana ulimwachia uhai wake dr ulimboka.

Connecting dots, yule ofisa upelelezi aliyekula kichapo muhimbili, alitumwa na msangi?

Naona hapa kuna jinsi majina yanavyochanganywa ya huyu Msangi, inawezekana kwa makusudu au kutofahamu.
Msangi alietajwa kwenye Tume na Kova, majina yake sahihi ni ACP Ahmed Zahoro Msangi, amewahi kufanya kazi Arusha, Dodoma, Morogoro na sasa ni ZCO Dar Es Salaam. Huyu Msangi hajawahi kuwa OC-CID Oysterbay.
 
Ndugu wana blog ya jamii...acheni kuzusha vitu msivyovijua...mnatupeleka wapi sasa?? ndiyo maana hii nchi kila mtu ni mwanasiasa,kila mtu ni daktari,kila mtu ni kila kitu hata kma hajasomea fani husika...andika kitu unachokifahamu na sio uzushi usiokuwa na tija kwa Taifa.
 
Ndugu wana blog ya jamii...acheni kuzusha vitu msivyovijua...mnatupeleka wapi sasa?? ndiyo maana hii nchi kila mtu ni mwanasiasa,kila mtu ni daktari,kila mtu ni kila kitu hata kma hajasomea fani husika...andika kitu unachokifahamu na sio uzushi usiokuwa na tija kwa Taifa.
Too late mumeharibu nchi munadhani mutabaki madarakani milele
 
Dr Ulimboka kama amepata nafuu aseme yote mapema anayoyajua ili uma utambue na ujue la kufanya kabla hawajammalizia kwani kuwa kwake hai ni hatari kwa waliomfanyia kitendo hiko.
 
Usiwe na akili finyu jamaa yangu, bila polisi utakuwa na hata amani ya kuchati humu?

il awe jamaa ndo hamnazo yani umeona polisi ndo wamebeba uhai wako ,chunga sana usitamke hayo maneno hadharani kwa watu wenye kujua haki zao unaweza chezea kichapo takatifu.
 
Wabongo mumezidi! hii habari ni upotoshaji mkubwa! lakini acha tusubiri! ukweli utadhihiri! isijekuwa watu wametumia mwanya kujikweza kisiasa!
 
Madaktari nanyi roho zenu kweli ngumu!! huyo kamanda ***** akirudi mnyongeni kavu kavu bana. tumechoka kusikia watu wananyanyaswa na hawa vibaraka (empty slates) wa viongozi wa hii nchi.
Dr. tunamuombea kwa Mungu amponye ili aendeleze mapambano.
 
Nami nimesikia hivyo..sura imemkaa akilini kwasabb cku ya kikao na mkulu magogoni alikuwepo pia.

Inawezekana siku ya kikao aliitwa kuwa-identify vinara wote wa mgomo; ili akianza kamata kamata ya mateso awajue nyendo zao (wanapoishi, nyumba za starehe wanazopenda, familia zao etc in short their daily routines). Kwakweli inasikitisha.
 
kumbukeni yale maneno aliyosesema Dr Mwakyembe juu ya kuchunguzwa na mtu ambaye pia ni mhusika
 
Damu ya mtu haipotei hivi hivi. Na km wamejua hajafa wameenda wodini kufanya nini ama kuona km atawakumbuka. Hii move ni kali.

Most likely. Wanaenda kuangalia Dr Ulimboka ana-memory ya tukio kiasi gani ili wajue mahali pakuanzia kuchakachua report/information.
 
Wabongo mumezidi! hii habari ni upotoshaji mkubwa! lakini acha tusubiri! ukweli utadhihiri! isijekuwa watu wametumia mwanya kujikweza kisiasa!

Tuambie basi huo ukweli unaoujua wewe kama unahakika huu ni upotoshaji. Madaktari au LHRC ndio wanataka kujikweza kisiasa? Sijaona siasa hapo unless tuzi-form wenyewe. So far naona mtiririko wa habari unaenda vizuri bila siasa.
 
Back
Top Bottom